Ni wakati wa kuwa na House of Common iliyo juu ya Bunge ili kusimamia Taasisi ya Rais

Ni wakati wa kuwa na House of Common iliyo juu ya Bunge ili kusimamia Taasisi ya Rais

Camp 05

JF-Expert Member
Joined
Apr 27, 2013
Posts
3,016
Reaction score
2,883
Screenshot_20240914-122455.jpg

Nimekula chumvi nyingi hivyo najua mihemko ya Taasisi ya Rais, imekuwa ni utaratibu wa tawala zetu hapa nchini kuja na mihemko na kutoa ahadi nyingi ili kuongeza mapambo katika sanaa za siasa.


Nakuja na mapendekezo yafuatayo ili kuepuka majoto:

1. Ni wakati sasa ianzishwe taasisi ya House of Lord ili kulainisha mihemko ya wanasiasa wanaokuwa madarakani na wale wanaotarajiwa kuwa madarakani.

2. Uuzaji au ukodishwaji wa mali kubwa za nchi lazima house of lord wapite kwa wananchi kupata one to one vote kuruhusu hilo kufanikiwa. Mf, ukodishwaji wa Bandari kwa Kampuni za kigeni na kuiacha serikali na ugonjwa wa kukopa mikopo kusaidia bajeti ni swala gumu kulielewa.

3. Rais anapokuwa na jambo lazima house of lord waruhisiwe kufanya dialogue na maamuzi kufikiwa. Baraza la mawaziri wanamuogopa raisi sababu wote ni wateule wake. Mawaziri pia iwe ni nafasi huru either mbunge au mtaalamu aweze kuomba kuwa waziri na house of lord washirikiane na raisi katika kumhoji mhisika na sio nafasi ya fadhila.

Pia soma: Kauli ya Rais Samia na Musatakabali wa Jeshi la Polisi, TISS na Vyombo vingine vya Usalama

4. Mabadiriko yoyote yanayohusu Muungano lazima house of lord wafanye questionare kwa Watanzania na kuja na referandum. Kwa mfano Tanganyika kuongeza asilimia ya gawio la makusanyo ya kodi kwa unguja lazima kuwe na kura ya pamoja na ihusishe watu huru sio wanasiasa peke yao.

5. Siasa za uchumi ziwe wazi haiwezekani wananchi wapambane wagundue madini au gesi lakini kwa maamuzi ya mtu mmoja analeta taarifa yenye utata eti mabeberu walishaichukua hili linahitaji kula ya wazi kuweza kuafikiana,hii lonaleta shida nchi ina gesi lakini nchi inakuwa na bajeti inayotegemea wahisani Hili pia linaleta ukakasi. Maendeleo ya vitu yaambatane na maendeleao watu,haiwezekani Kodi ilipwe lakini huduma ziwe chini ya kiwango.

6 .Natamani paper ya kilimo kwanza iweze kupitiwa upya na kufanyiwa kazi kama wataalamu wameshindwa kumaliza kero za masoko na hata majukwaa ya wanasiasa wanakosa majibu sahihi kwa wakati sahihi.

7. Napendekeza pia Tanzania ipime uzito na kuona kama kuna ulazima wa kutumia Dola kwa manunuzi katika nchi yetu.

8. Kuhusu Ardhi, watu wanauwana sana sana hili nalo linahitaji kutizamwa kwa namna nyingine.

Tanzania haiwezi kufa kama vile walivyosema " Serengeti will never die!"

Ahsanteni.
 
Shida iko CCM watanzania tunaelewa na tunatamani mabadiliko na maendeleo wao wako kinyume na jambo lenye manufaa ya nchi kama chama hakinufaiki huo mchakato utafeli na kuhujumiwa tuu
 
Hamna kitu hapo, hayo yakifanyika halafu kama kawaida ccm ndio watajaza watu wao humo wa kushindana kupiga ndiooo sasa tutakuwa tumefanya nini..!!

Hakuna mkakati wowote utakaofaulu kuwanufaisha watanzania ktk nchi hii ccm wakingali madarakani, hilo tusahau kabisa.
 
Hiyo itakuwa chimbo lingine la kutafuna posho na kodi, kama lilivyo bunge la sasa.
 
  • Thanks
Reactions: G4N
Hiyo itakuwa chimbo lingine la kutafuna posho na kodi, kama lilivyo bunge la sasa.
Shida Wazee wa ndio mkuu wanatumaliza,unawezaje kukodisha bandali Miaka mingi wakati mapato hayajulikani.
 
Nimekula chumvi nyingi hivyo najua mihemko ya Taasisi ya Rais,Imekuwa ni utaratibu wa tawala zetu hapa nchini kuja na mihemko na kutoa ahadi nyingi ili kuongeza mapambo katika sanaa za siasa.
Nakuja na mapendekezo yafuatayo ili kuepuka majoto:-

1.Ni wakati sasa ianzishwe taasisi ya House of Lord ili kulainisha mihemko ya wanasiasa wanaokuwa madarakani na wale wanaotarajiwa kuwa madarakani.

2.Uuzaji au ukodishwaji wa mali kubwa za nchi lazima house of lord wapite kwa wananchi kupata one to one vote kuruhusu hilo kufanikiwa.
Mf.ukodishwaji wa Bandari kwa Kampuni za kigeni na kuiacha serikali na ugonjwa wa kukopa mikopo kusaidia bajeti ni swala gumu kulielewa.

3.Rais anapokuwa na jambo lazima house of lord waruhisiwe kufanya dialogue na maamuzi kufikiwa. Baraza la mawaziri wanamuogopa raisi sababu wote ni wateule wake.Mawaziri pia iwe ni nafasi huru either mbunge au mtaalamu aweze kuomba kuwa waziri na house of lord washirikiane na raisi katika kumhoji mhisika na sio nafasi ya fadhila.

4.Mabadiriko yoyote yanayohusu Muungano lazima house of lord wafanye questionare kwa Watanzania na kuja na referandum.Kwa mfano Tanganyika kuongeza asilimia ya gawio la makusanyo ya kodi kwa unguja lazima kuwe na kura ya pamoja na ihusishe watu huru sio wanasiasa peke yao.

5.Siasa za uchumi ziwe wazi haiwezekani wananchi wapambane wagundue madini au gesi lakini kwa maamuzi ya mtu mmoja analeta taarifa yenye utata eti mabeberu walishaichukua hili linahitaji kula ya wazi kuweza kuafikiana,hii lonaleta shida nchi ina gesi lakini nchi inakuwa na bajeti inayotegemea wahisani Hili pia linaleta ukakasi.Maendeleo.ya vitu yaambatane.na maendeleao watu,haiwezekani Kodi ilipwe lakini huduma ziwe chini ya kiwango.

6.Natamani paper ya kilimo kwanza iweze kupitiwa upya na kufanyiwa kazi kama wataalamu wameshindwa kumaliza kero za masoko na hata majukwaa ya wanasiasa wanakosa majibu sahihi kwa wakati sahihi.

7.Napendekeza pia Tanzania ipime uzito na kuona kama kuna ulazima wa kutumia Dola kwa manunuzi katika nchi yetu.

8.Kuhusu Ardhi,watu wanauwana sana sana hili nalo linahitaji kutizamwa kwa namna nyingine.

Tanzania haiwezi kufa kama vile walivyosema " Serengeti will never die!"
Ahsanteni
Nchi kama Tanzania HAIWEZI kuwa na House of Lords.
 
  • Thanks
Reactions: G4N
Nimekula chumvi nyingi hivyo najua mihemko ya Taasisi ya Rais,Imekuwa ni utaratibu wa tawala zetu hapa nchini kuja na mihemko na kutoa ahadi nyingi ili kuongeza mapambo katika sanaa za siasa.
Nakuja na mapendekezo yafuatayo ili kuepuka majoto:-

1.Ni wakati sasa ianzishwe taasisi ya House of Lord ili kulainisha mihemko ya wanasiasa wanaokuwa madarakani na wale wanaotarajiwa kuwa madarakani.

2.Uuzaji au ukodishwaji wa mali kubwa za nchi lazima house of lord wapite kwa wananchi kupata one to one vote kuruhusu hilo kufanikiwa.
Mf.ukodishwaji wa Bandari kwa Kampuni za kigeni na kuiacha serikali na ugonjwa wa kukopa mikopo kusaidia bajeti ni swala gumu kulielewa.

3.Rais anapokuwa na jambo lazima house of lord waruhisiwe kufanya dialogue na maamuzi kufikiwa. Baraza la mawaziri wanamuogopa raisi sababu wote ni wateule wake.Mawaziri pia iwe ni nafasi huru either mbunge au mtaalamu aweze kuomba kuwa waziri na house of lord washirikiane na raisi katika kumhoji mhisika na sio nafasi ya fadhila.

4.Mabadiriko yoyote yanayohusu Muungano lazima house of lord wafanye questionare kwa Watanzania na kuja na referandum.Kwa mfano Tanganyika kuongeza asilimia ya gawio la makusanyo ya kodi kwa unguja lazima kuwe na kura ya pamoja na ihusishe watu huru sio wanasiasa peke yao.

5.Siasa za uchumi ziwe wazi haiwezekani wananchi wapambane wagundue madini au gesi lakini kwa maamuzi ya mtu mmoja analeta taarifa yenye utata eti mabeberu walishaichukua hili linahitaji kula ya wazi kuweza kuafikiana,hii lonaleta shida nchi ina gesi lakini nchi inakuwa na bajeti inayotegemea wahisani Hili pia linaleta ukakasi.Maendeleo.ya vitu yaambatane.na maendeleao watu,haiwezekani Kodi ilipwe lakini huduma ziwe chini ya kiwango.

6.Natamani paper ya kilimo kwanza iweze kupitiwa upya na kufanyiwa kazi kama wataalamu wameshindwa kumaliza kero za masoko na hata majukwaa ya wanasiasa wanakosa majibu sahihi kwa wakati sahihi.

7.Napendekeza pia Tanzania ipime uzito na kuona kama kuna ulazima wa kutumia Dola kwa manunuzi katika nchi yetu.

8.Kuhusu Ardhi,watu wanauwana sana sana hili nalo linahitaji kutizamwa kwa namna nyingine.

Tanzania haiwezi kufa kama vile walivyosema " Serengeti will never die!"
Ahsanteni
Katiba mpya ndo suluhisho.

Na mchakato huo usimamiwe na Bunge la wananchi na siyo bunge hili la majahili
 
Nimekula chumvi nyingi hivyo najua mihemko ya Taasisi ya Rais,Imekuwa ni utaratibu wa tawala zetu hapa nchini kuja na mihemko na kutoa ahadi nyingi ili kuongeza mapambo katika sanaa za siasa.
Nakuja na mapendekezo yafuatayo ili kuepuka majoto:-

1.Ni wakati sasa ianzishwe taasisi ya House of Lord ili kulainisha mihemko ya wanasiasa wanaokuwa madarakani na wale wanaotarajiwa kuwa madarakani.

2.Uuzaji au ukodishwaji wa mali kubwa za nchi lazima house of lord wapite kwa wananchi kupata one to one vote kuruhusu hilo kufanikiwa.
Mf.ukodishwaji wa Bandari kwa Kampuni za kigeni na kuiacha serikali na ugonjwa wa kukopa mikopo kusaidia bajeti ni swala gumu kulielewa.

3.Rais anapokuwa na jambo lazima house of lord waruhisiwe kufanya dialogue na maamuzi kufikiwa. Baraza la mawaziri wanamuogopa raisi sababu wote ni wateule wake.Mawaziri pia iwe ni nafasi huru either mbunge au mtaalamu aweze kuomba kuwa waziri na house of lord washirikiane na raisi katika kumhoji mhisika na sio nafasi ya fadhila.

4.Mabadiriko yoyote yanayohusu Muungano lazima house of lord wafanye questionare kwa Watanzania na kuja na referandum.Kwa mfano Tanganyika kuongeza asilimia ya gawio la makusanyo ya kodi kwa unguja lazima kuwe na kura ya pamoja na ihusishe watu huru sio wanasiasa peke yao.

5.Siasa za uchumi ziwe wazi haiwezekani wananchi wapambane wagundue madini au gesi lakini kwa maamuzi ya mtu mmoja analeta taarifa yenye utata eti mabeberu walishaichukua hili linahitaji kula ya wazi kuweza kuafikiana,hii lonaleta shida nchi ina gesi lakini nchi inakuwa na bajeti inayotegemea wahisani Hili pia linaleta ukakasi.Maendeleo.ya vitu yaambatane.na maendeleao watu,haiwezekani Kodi ilipwe lakini huduma ziwe chini ya kiwango.

6.Natamani paper ya kilimo kwanza iweze kupitiwa upya na kufanyiwa kazi kama wataalamu wameshindwa kumaliza kero za masoko na hata majukwaa ya wanasiasa wanakosa majibu sahihi kwa wakati sahihi.

7.Napendekeza pia Tanzania ipime uzito na kuona kama kuna ulazima wa kutumia Dola kwa manunuzi katika nchi yetu.

8.Kuhusu Ardhi,watu wanauwana sana sana hili nalo linahitaji kutizamwa kwa namna nyingine.

Tanzania haiwezi kufa kama vile walivyosema " Serengeti will never die!"
Ahsanteni
Haitasaidia kitu! Maccm ni mashetani na machawa pro max! Huoni bunge la Tulia Kila mbunge anasifia rais na serikali! Majinga sana Yale! Halafu yaliptishwa Kwa mtutu wa bunduki na mwendazake Ili yampitishe kuwa rais wa milele! Makenge Yale!
 
Haitasaidia kitu! Maccm ni mashetani na machawa pro max! Huoni bunge la Tulia Kila mbunge anasifia rais na serikali! Majinga sana Yale! Halafu yaliptishwa Kwa mtutu wa bunduki na mwendazake Ili yampitishe kuwa rais wa milele! Makenge Yale!
Haya majanbazi yanawezaje kutushinda tulio wengi hivi,Huyu Mwambukusi sijui hata role yake itakuwa ipi,Mimi nataka watu wapate bei nzuri za mazao yao nje ya mengine mengi
 
Nimekula chumvi nyingi hivyo najua mihemko ya Taasisi ya Rais,Imekuwa ni utaratibu wa tawala zetu hapa nchini kuja na mihemko na kutoa ahadi nyingi ili kuongeza mapambo katika sanaa za siasa.
Nakuja na mapendekezo yafuatayo ili kuepuka majoto:-

1.Ni wakati sasa ianzishwe taasisi ya House of Lord ili kulainisha mihemko ya wanasiasa wanaokuwa madarakani na wale wanaotarajiwa kuwa madarakani.

2.Uuzaji au ukodishwaji wa mali kubwa za nchi lazima house of lord wapite kwa wananchi kupata one to one vote kuruhusu hilo kufanikiwa.
Mf.ukodishwaji wa Bandari kwa Kampuni za kigeni na kuiacha serikali na ugonjwa wa kukopa mikopo kusaidia bajeti ni swala gumu kulielewa.

3.Rais anapokuwa na jambo lazima house of lord waruhisiwe kufanya dialogue na maamuzi kufikiwa. Baraza la mawaziri wanamuogopa raisi sababu wote ni wateule wake.Mawaziri pia iwe ni nafasi huru either mbunge au mtaalamu aweze kuomba kuwa waziri na house of lord washirikiane na raisi katika kumhoji mhisika na sio nafasi ya fadhila.

4.Mabadiriko yoyote yanayohusu Muungano lazima house of lord wafanye questionare kwa Watanzania na kuja na referandum.Kwa mfano Tanganyika kuongeza asilimia ya gawio la makusanyo ya kodi kwa unguja lazima kuwe na kura ya pamoja na ihusishe watu huru sio wanasiasa peke yao.

5.Siasa za uchumi ziwe wazi haiwezekani wananchi wapambane wagundue madini au gesi lakini kwa maamuzi ya mtu mmoja analeta taarifa yenye utata eti mabeberu walishaichukua hili linahitaji kula ya wazi kuweza kuafikiana,hii lonaleta shida nchi ina gesi lakini nchi inakuwa na bajeti inayotegemea wahisani Hili pia linaleta ukakasi.Maendeleo.ya vitu yaambatane.na maendeleao watu,haiwezekani Kodi ilipwe lakini huduma ziwe chini ya kiwango.

6.Natamani paper ya kilimo kwanza iweze kupitiwa upya na kufanyiwa kazi kama wataalamu wameshindwa kumaliza kero za masoko na hata majukwaa ya wanasiasa wanakosa majibu sahihi kwa wakati sahihi.

7.Napendekeza pia Tanzania ipime uzito na kuona kama kuna ulazima wa kutumia Dola kwa manunuzi katika nchi yetu.

8.Kuhusu Ardhi,watu wanauwana sana sana hili nalo linahitaji kutizamwa kwa namna nyingine.

Tanzania haiwezi kufa kama vile walivyosema " Serengeti will never die!"
Ahsanteni
Na hiyo house if common nayo itakuwa kama Tume tu.
 
Wajumbe wa House of Common wanatokana na nani? Maana kwa trend iliyopo ya kuteuana hata aje nani, hakuna kitu.
 
Badili title unapotosha.

House of commons ndio hili bunge tulilonalo ambalo kila mtu anaweza chaguliwa.

Ila unachotaka ni tuwe na House of Lords ambalo hilo ni bunge la mabwanyenye na lazima uwe na sifa flani ili kuingia huko.
 
Kwenye matumizi ya dola ndani ya nchi- SIAFIKIANI NA WEWE
 
Masuala kama haya yashafanyiwa utafiti.

Matatizo ya Waafrika yatatuliwa na waafrika wenyewe kwa kuzingatia mila na tamaduni zao.

Itoshe, sio Katiba tu, hata na sheria zilizopo zimetoka(copy and paste) huko huko 🙌🏾

Na bado shida ni nyingi tu.

Halafu tuongezee na kutawaliwa na Mabwanyeye?

CHADEMA itaenda kutuuza kwa mabeberu wajameni.
 
Kupunguza gharama tufanye machifu ndiyo wawe "house of lords" ya Tanzania.

Waruhusiwe kumpumzisha rais kwa amani kwa kutumia miziziology endapo ataenda kinyume na maagizo yao au hata "norms" za uongozi.
 

Nimekula chumvi nyingi hivyo najua mihemko ya Taasisi ya Rais, imekuwa ni utaratibu wa tawala zetu hapa nchini kuja na mihemko na kutoa ahadi nyingi ili kuongeza mapambo katika sanaa za siasa.


Nakuja na mapendekezo yafuatayo ili kuepuka majoto:

1. Ni wakati sasa ianzishwe taasisi ya House of Lord ili kulainisha mihemko ya wanasiasa wanaokuwa madarakani na wale wanaotarajiwa kuwa madarakani.

2. Uuzaji au ukodishwaji wa mali kubwa za nchi lazima house of lord wapite kwa wananchi kupata one to one vote kuruhusu hilo kufanikiwa. Mf, ukodishwaji wa Bandari kwa Kampuni za kigeni na kuiacha serikali na ugonjwa wa kukopa mikopo kusaidia bajeti ni swala gumu kulielewa.

3. Rais anapokuwa na jambo lazima house of lord waruhisiwe kufanya dialogue na maamuzi kufikiwa. Baraza la mawaziri wanamuogopa raisi sababu wote ni wateule wake. Mawaziri pia iwe ni nafasi huru either mbunge au mtaalamu aweze kuomba kuwa waziri na house of lord washirikiane na raisi katika kumhoji mhisika na sio nafasi ya fadhila.

Pia soma: Kauli ya Rais Samia na Musatakabali wa Jeshi la Polisi, TISS na Vyombo vingine vya Usalama

4. Mabadiriko yoyote yanayohusu Muungano lazima house of lord wafanye questionare kwa Watanzania na kuja na referandum. Kwa mfano Tanganyika kuongeza asilimia ya gawio la makusanyo ya kodi kwa unguja lazima kuwe na kura ya pamoja na ihusishe watu huru sio wanasiasa peke yao.

5. Siasa za uchumi ziwe wazi haiwezekani wananchi wapambane wagundue madini au gesi lakini kwa maamuzi ya mtu mmoja analeta taarifa yenye utata eti mabeberu walishaichukua hili linahitaji kula ya wazi kuweza kuafikiana,hii lonaleta shida nchi ina gesi lakini nchi inakuwa na bajeti inayotegemea wahisani Hili pia linaleta ukakasi. Maendeleo ya vitu yaambatane na maendeleao watu,haiwezekani Kodi ilipwe lakini huduma ziwe chini ya kiwango.

6 .Natamani paper ya kilimo kwanza iweze kupitiwa upya na kufanyiwa kazi kama wataalamu wameshindwa kumaliza kero za masoko na hata majukwaa ya wanasiasa wanakosa majibu sahihi kwa wakati sahihi.

7. Napendekeza pia Tanzania ipime uzito na kuona kama kuna ulazima wa kutumia Dola kwa manunuzi katika nchi yetu.

8. Kuhusu Ardhi, watu wanauwana sana sana hili nalo linahitaji kutizamwa kwa namna nyingine.

Tanzania haiwezi kufa kama vile walivyosema " Serengeti will never die!"

Ahsanteni.
Hiyo ni house of Lords Kwa UK na Senate Kwa US
 
Back
Top Bottom