Bill Lugano
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 1,189
- 6,450
Nimekuwa nikitumiwa jumbe na wananchi walioko Tanzania mi nikiwa huku Argentina ( bado jamaa wanasherehekea kuchukua kombe la Dunia So nikaona nikae kwenye moja ya nyumba ambazo mzee alijenga huku. Hii nyumba inafanana sana na Ikulu ya Dom leo ndo nimegundua)
Juzi wakati Mlinzi wangu ananishukuru kwa kumtumia viji dollar vya Sikukuu maana huwa nawatoa kitu kila sikukuu angalau kila mmoja apate Usd 5,000. Akale sikuu kuu. Ukiacha ya likizo ambayo huwa nawapa Usd 10,000 kila mtu. Tuyaache hayo maana mtaanza kusema nawapa pesa kidogo. Well, nawajua hawa jamaa. Ukiwapa pesa nyingi wanaacha na kazi wanaenda kuoa.
Mlinzi anasema TANZANIA KUNA MGAO WA UMEME. nikamuuliza pale Oysterbay nao wanapata huo Mgao. Anasema haijawahi tokea. Hapo nikashangaa. Yaani Tanzania nzima wanapata Mgao wa umeme. Sisi tupo Oysterbay Serikali haitugaii kitu? Why? Huu ni Ubaguzi. Pale Oysterbay nafahamu kuna wale wachuuzi wadogo wadogo ukipita maeneo ya Coco Beach. Wapewe nao huo umeme.
Sawa mimi sihitaji mgao. What about some of the Waziris wanaokaa kule? Nawafahamu Mawaziri kadhaa wanakaa kule. Why wao wasipewe huo mgao? Wametumikia nchi hii kwa muda kadhaa.
Hapa Serikali inatengeneza matabaka sana. Mwishowe itaonekana kama sisi si raia wa Tanzania. Mgao wapate wote na sisi Wa Oysterbay tupewe ingawa binafsi sihitaji but najua kuna wanaohitaji.
Hapa nakunywa mvinyo toka Italy Barolo. Na Chakula ni Gordon Ramsay pizza... Nimezungukwa na watoto 3 wakali wa Kilatino.... Wananisifu na kuniabudu tu...maana wameona kazi zetu weusi zilivuo.ni watoto wa Matajiri sana....baba zao ndo wale mnaowana kwenye Movies wanajuliana kama Mafioso.
Sasa huwa nawasaidia kwenye mahesabu yao flani flani ili wasiingie matatani na Serikali zao so kama zawadi kila mzee ametoa binti yake mmoja Bikra mimi ndo nifanye ufunguzi. Kama Heshima kwao na kutambua mchango wangu.
Wadau mwaka unaishia huu...usibebe makasiriko na uchovu wa moyo wa mwaka huu kwenda nao mwaka ujao.mwaka huu kama hukupiga hatua. Mwakani piga msamba kabisa. Ukienda bank au kwenye ATM huwezi toa pesa kwenye akaunti yako. Basi toa hata ushuhuda.
Juzi wakati Mlinzi wangu ananishukuru kwa kumtumia viji dollar vya Sikukuu maana huwa nawatoa kitu kila sikukuu angalau kila mmoja apate Usd 5,000. Akale sikuu kuu. Ukiacha ya likizo ambayo huwa nawapa Usd 10,000 kila mtu. Tuyaache hayo maana mtaanza kusema nawapa pesa kidogo. Well, nawajua hawa jamaa. Ukiwapa pesa nyingi wanaacha na kazi wanaenda kuoa.
Mlinzi anasema TANZANIA KUNA MGAO WA UMEME. nikamuuliza pale Oysterbay nao wanapata huo Mgao. Anasema haijawahi tokea. Hapo nikashangaa. Yaani Tanzania nzima wanapata Mgao wa umeme. Sisi tupo Oysterbay Serikali haitugaii kitu? Why? Huu ni Ubaguzi. Pale Oysterbay nafahamu kuna wale wachuuzi wadogo wadogo ukipita maeneo ya Coco Beach. Wapewe nao huo umeme.
Sawa mimi sihitaji mgao. What about some of the Waziris wanaokaa kule? Nawafahamu Mawaziri kadhaa wanakaa kule. Why wao wasipewe huo mgao? Wametumikia nchi hii kwa muda kadhaa.
Hapa Serikali inatengeneza matabaka sana. Mwishowe itaonekana kama sisi si raia wa Tanzania. Mgao wapate wote na sisi Wa Oysterbay tupewe ingawa binafsi sihitaji but najua kuna wanaohitaji.
Hapa nakunywa mvinyo toka Italy Barolo. Na Chakula ni Gordon Ramsay pizza... Nimezungukwa na watoto 3 wakali wa Kilatino.... Wananisifu na kuniabudu tu...maana wameona kazi zetu weusi zilivuo.ni watoto wa Matajiri sana....baba zao ndo wale mnaowana kwenye Movies wanajuliana kama Mafioso.
Sasa huwa nawasaidia kwenye mahesabu yao flani flani ili wasiingie matatani na Serikali zao so kama zawadi kila mzee ametoa binti yake mmoja Bikra mimi ndo nifanye ufunguzi. Kama Heshima kwao na kutambua mchango wangu.
Wadau mwaka unaishia huu...usibebe makasiriko na uchovu wa moyo wa mwaka huu kwenda nao mwaka ujao.mwaka huu kama hukupiga hatua. Mwakani piga msamba kabisa. Ukienda bank au kwenye ATM huwezi toa pesa kwenye akaunti yako. Basi toa hata ushuhuda.