Ni wanaume wangapi tunajali usafi?

Ni wanaume wangapi tunajali usafi?

Kuna Mshkaji ni Workmate yaani mshahara sio mkubwa ila ukiingiaga hapohapo anatenga hela ya kutosha anampigia mke wake wanaenda kununua misosi sokoni, na mara nyingi ananunua perfume na mafuta ya gharama utasema Big boss flan...

Ukipishana naye ananukia fresh kinoma...ama mke wake na hadi watoto unaona wamekaaga poa tu muda wote...vinang'aa

Ila kwny story na washkaji wengine utasikia Mwanaume utanukiaje perfume vile...au choko?

Sisi wabongo bana...!
Wapuuzi hao
 
Kuna Mshkaji ni Workmate yaani mshahara sio mkubwa ila ukiingiaga hapohapo anatenga hela ya kutosha anampigia mke wake wanaenda kununua misosi sokoni, na mara nyingi ananunua perfume na mafuta ya gharama utasema Big boss flan...

Ukipishana naye ananukia fresh kinoma...ama mke wake na hadi watoto unaona wamekaaga poa tu muda wote...vinang'aa

Ila kwny story na washkaji wengine utasikia Mwanaume utanukiaje perfume vile...au choko?

Sisi wabongo bana...!
Wabongo buana
 
Hivi ulivyotaja hapa walio navyo hawazidi 20.

Sabuni tu za kuongea wanatumia B29 za sh 300 zile tunaosheaga vyombo.

Povu...karibu.[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
[emoji23][emoji23][emoji23]hamna povu hapo nahisi hii comment inanihusu 100%

NB: mi ni handsome sana jaman ila naogea sabuni ya POA ya 200
[emoji3][emoji3][emoji3]
 
Hakuna mahali nimeongelea kujikwatua lakini.

Note that.
Unajua tofauti ya kujipenda na kujikwatua? Unamkuta kijana wa daslam nywele ina pico, sikio lina hereni, nyusi zimetindwa, uso una poda, lips zinameremeta, ulimi unakihereni, kuna jino la silver/gold, Huku sio kujipenda ni kujikwatua.
 
aiseee! 30000???!!!
hahahah kumbe mi mchafu kinomanoma!
 
Hii ni hasara

Mwanaume kujiangalia hivyo,kuna Walakini!!!

Kama unamiliki suruali zaidi ya kumi na tano na una boksa mbili tu wewe ni mchafu!
Kama una pea moja tu ya viatu wewe ni mchafu,mwanaume viatu
Kama unapiga mswaki Mara moja tu kwa siku wewe ni mwanaume mchafu!
Kama huwezi hata kuwa na perfume zaidi ya tatu ghetto wewe ni mchafu!
Kama una pea moja tu ya shuka na hata taulo huna wewe ni mchafu!
Kama unatumia mikono kufuta kamasi wewe ni mchafu!
Kama nywele zako huwezi kugharamia hata tsh 30000 kwa mwezi wewe ni mchafu!
Team wachafu njoeni mtoe mapovu[emoji23]
 
Back
Top Bottom