Chrismoris
JF-Expert Member
- Oct 27, 2017
- 14,113
- 17,645
Nashukuru kuona na wewe umelighamua hilo. Huyo kijana ni raia wa SodomaHii comment si ya kiume. ....vipi wewe LGBT memba?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nashukuru kuona na wewe umelighamua hilo. Huyo kijana ni raia wa SodomaHii comment si ya kiume. ....vipi wewe LGBT memba?
[emoji3][emoji3]Huyu mleta mada naona ameamua kunianzishia thread haki...... Maana sio meno haya yalivyo ya njano....tehteehh
Usihofu nitakueleweshaAisee sijaelewa ulichoandika
Sina chochote nanyi akina zakayo...😊We maza konfesa, unanini nasi wenye vimo vyetu?
[emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134][emoji3][emoji3]
Na hizo nywele naomba nikupe cheo cha Raisi wa wachafu
aiseeKama una pea moja tu ya shuka na hata taulo huna wewe ni mchafu!
Wapuuzi hao
Mwanaume awe na boxer nyingi za nini? Kwani ana bleed. Mwanaume boxer mbili tu. Moja ikiwa kambani inakauka nyingine iko mwilini. [emoji664]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nazingua tu bablaiAicee jomba!!!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nazingua tu bablai
Wabongo buanaKuna Mshkaji ni Workmate yaani mshahara sio mkubwa ila ukiingiaga hapohapo anatenga hela ya kutosha anampigia mke wake wanaenda kununua misosi sokoni, na mara nyingi ananunua perfume na mafuta ya gharama utasema Big boss flan...
Ukipishana naye ananukia fresh kinoma...ama mke wake na hadi watoto unaona wamekaaga poa tu muda wote...vinang'aa
Ila kwny story na washkaji wengine utasikia Mwanaume utanukiaje perfume vile...au choko?
Sisi wabongo bana...!
[emoji23][emoji23][emoji23]hamna povu hapo nahisi hii comment inanihusu 100%Hivi ulivyotaja hapa walio navyo hawazidi 20.
Sabuni tu za kuongea wanatumia B29 za sh 300 zile tunaosheaga vyombo.
Povu...karibu.[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Unajua tofauti ya kujipenda na kujikwatua? Unamkuta kijana wa daslam nywele ina pico, sikio lina hereni, nyusi zimetindwa, uso una poda, lips zinameremeta, ulimi unakihereni, kuna jino la silver/gold, Huku sio kujipenda ni kujikwatua.
Izo za 30000 wakinyoa wanakuongezea na akili au unabaki na akili zako zile zile??Utakuwa umezoea saluni za 1500 mbagala
Mi nlijua hii ipo kwa wanawake tu kumbe adi madume dahUnataka uwe na harufu moja kama bangi ukipita watu wanajua ni wewe hata kama hawajakuona?!
Kama unamiliki suruali zaidi ya kumi na tano na una boksa mbili tu wewe ni mchafu!
Kama una pea moja tu ya viatu wewe ni mchafu,mwanaume viatu
Kama unapiga mswaki Mara moja tu kwa siku wewe ni mwanaume mchafu!
Kama huwezi hata kuwa na perfume zaidi ya tatu ghetto wewe ni mchafu!
Kama una pea moja tu ya shuka na hata taulo huna wewe ni mchafu!
Kama unatumia mikono kufuta kamasi wewe ni mchafu!
Kama nywele zako huwezi kugharamia hata tsh 30000 kwa mwezi wewe ni mchafu!
Team wachafu njoeni mtoe mapovu[emoji23]
Sasa anaenyoa style ya upara anatunza nin sasa mzee babaSijazungumzia kuhusu kunyoa,ni kuhusu kutunza nyweli ndio maana ulipata dv 0[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Apana we ni wa dar live bila chenga...mbona wa mkoan atuwez hizo harakati...au tuambie kwanza we unatokea mkoa gani?Mimi sio mwanaume wa DAR lakini nazingatia usafi