Ni wanawake wote wanafika kileleni kwa kurusha au kutoa maji mengi?

Ni wote inasemekana [emoji56] na kama hujawahi kumninihuuu, inasemekana hauko makini na kazi yako.
Kwa taarifa yenu, kule kutoa maji siyo wanawake wote, kwanza kuna aina ya vyakula mpaka ale sana iwe ni sehemu ya chakula chake, na ndiyo maana hiyo sifa iko kwa wahaya, sasa kweni wahaya ni binadamu wa tofauti? Lakini pia Kuna swala la homon, wako wanawake huwezi kuwatoa maji
 
SIO KWELI..NI WOTE..HAKUNA CHA CHAKULA MKUU WALA HOMONI...
 
Kuna baadhi ya wanawake hawajawahi kurusha maji mpk wamefikia utu uzima! na kuna baadhi ya wanaume hawajawahi kumkojoza mwanamke kwa kiwango hicho mpk wamekua watu wazima!
 

Dont be deceived hata huko kagera sio wanawake wote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…