Ni wanawake wote wanafika kileleni kwa kurusha au kutoa maji mengi?

Ni wanawake wote wanafika kileleni kwa kurusha au kutoa maji mengi?

Wapo ambao hata umatemate tu ni tatizo, yaani hata ule utelezi tu wa kawaida ni tatizo. Na hata akiutoa basi ni mda mfupi tu anakuwa dry. Usiombe kukutana na kiumbe wa hivi.
Si ndo mnapenda hizo kavu, mnasema mnato
 
Wa kwangu huwa anapanda juu kisha naloweshwa kila mahali hadi kwenye macho
 
Sijawahi kupenda vitu vikavu mimi!
Wenzako karibu asilimia 90% wanataka hizo kavu, Mnato wanavyoziita eti[emoji4][emoji4]. Hata vijiweni huko ndo wanahadithiana kwamba leo naumwa Jana nimepata demu Yuko tight Mnato Hadi uume umepata vidonda,ndo wanasifiana hivyo, Hadi huwa nashangaa wanajisifiaje wakati hakuna kitu wamefanya na hata hawashtuki ndo wanaona sifa kabisa Hadi kuadithia.
 
Wenzako karibu asilimia 90% wanataka hizo kavu, Mnato wanavyoziita eti[emoji4][emoji4]. Hata vijiweni huko ndo wanahadithiana kwamba leo naumwa Jana nimepata demu Yuko tight Mnato Hadi uume umepata vidonda,ndo wanasifiana hivyo, Hadi huwa nashangaa wanajisifiaje wakati hakuna kitu wamefanya na hata hawashtuki ndo wanaona sifa kabisa Hadi kuadithia.
Duh, kila mtu na mapenzi yake mkuu. Binafsi vikavu najua vinachubua vitaniletea shida..
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] kukojoa sio lazima utoe maji
Kila siku naambiwa Asante. Njoo na wewe utasema Asante
Mkuu una mbinu, Kama masihara unaeza ukapewa Jimbo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom