chief swetu
JF-Expert Member
- Aug 13, 2015
- 224
- 240
- Thread starter
- #101
Toa
Toa codes acha ubinafsiPole sana mkuu,ila hapo nikuhakikishie hujaweza kumnaniliu vizuri ndiyo mana,na hajakwambi tu hata dharau ndogondogo anazokuletea hapo ndani ni sababu ya hiyo mambo ,na siku akifanikiwa kukutana na jabali kama Mimi hawezi rudia makosa,atatia kambi kabisa.OMBA SANA ASIJEKUTANA NA ANAYEJUA KUYATOA ATAKUONA WW SI LOLOTE😂