Ni wangapi wanapenda kifo kutokana na kutenda haki?

Ni wangapi wanapenda kifo kutokana na kutenda haki?

Father of All

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2012
Posts
7,672
Reaction score
9,039
Japo wengi wanachukia kifo, kuna ukweli kuwa kifo ndiyo kitu pekee kinachotenda haki kuliko vingine. Mvua inaweza kunyesha lakini si dunia nzima. Kifo kipo kila mahali dunia nzima. Furahi ipo duniani lakini siyo kwa watu wote. Ni kifo pekee kinachosawazisha mambo. Mbali na kifo, kinachofuatia ni uhai ambao huanza pale mimba inapotungwa ingawa nayo huonja mauti hata kabla ya kuzaliwa kwa zilizo nyingi. Je zaidi ya kifo, ni kitu gani kinatenda haki kwa usawa duniani?
 
Tunaishi kinafki sana mkuu, ila nakumbuka kuna mzee alikua kiongozi wa dini. Huyu hakua akikiogopa kifo kabisa.
Alikua akisema anaishi bonus life, ni kwa rehema za Muumba tu miaka 90+ na hakua akishika fimbo kitembea.
 
Kifo ndiyo njia ya mwisho na njia ya kwanza, hiyo ndiyo maana ya Alfa na Omega. Where it ends is where it starts. Life is a matrix
 
Pumzi,
Wote tunahitaji Pumzi ili tuishi.

Wote tunalala,hata uwe nani,ni lazima usingizi uupate.
 
Hujaelewa point hapo,
Issue ni kwamba,Binadamu wote tunahitaji chakula ili tuishi.
Nmeelewa. We ndo hujaelewa. Kifo kinawagusa wote lakini siyo njaa hasa ukizingatia kuwa mimba zinazonyofolewa huwa hazihitaji chakula wala kuhisi njaa. Angalau ungesema kuwa mimba, kwani hakuna anayeweza kuitwa kiumbe bila kuwa mimba au yai au chochote kwenye level hiyo mwanangu.
 
Nmeelewa. We ndo hujaelewa. Kifo kinawagusa wote lakini siyo njaa hasa ukizingatia kuwa mimba zinazonyofolewa huwa hazihitaji chakula wala kuhisi njaa. Angalau ungesema kuwa mimba, kwani hakuna anayeweza kuitwa kiumbe bila kuwa mimba au yai au chochote kwenye level hiyo mwanangu.
Una akili nzito sana aisee,Bila shaka ulimsumbua sana Mwalimu wako darasani,

Mimba ni kiumbe ambacho bado hakijaja Duniani,au huelewi hata mada yako ina husu nini?
 
Una akili nzito sana aisee,Bila shaka ulimsumbua sana Mwalimu wako darasani,

Mimba ni kiumbe ambacho bado hakijaja Duniani,au huelewi hata mada yako ina husu nini?
Heri akili nzito kuliko uzito kiakili kama wako. Kama mimba haijaja duniani, inakuwaje zikinyofolewa zinaokotwa duniani mwanangu?
 
Kifo ni technical mistake,siyo mapenzi ya Mungu wala ya wanadam mtu afe. Mtu kufa ni aidha cell, tissue au organ flan imefeli. Ndio maana watalam wa med. tech wanahangaika kuhakikisha organ zote za mwili wa mtu zinakuwa na spare. Mf. badala ya mvuta sigara kufa kwa cancer, anabadilishwa mapafu na kuendelea kuishi. Very soon wanadam watasema R.I.P KIFO kwa kuwa amortal yaan kuishi pasipokufa hadi Yesu atakaporudi.
 
Heri akili nzito kuliko uzito kiakili kama wako. Kama mimba haijaja duniani, inakuwaje zikinyofolewa zinaokotwa duniani mwanangu?
Huna akili wewe,
Ngoja nikuacha na mada yako ambayo wewe mwenyewe huelewi inahusu nini!
 
Sikujua kuwa wewe ni bwabwa na zwazwa ambaye huyo mama yako alikuziniii na kumbambikizia baba yako maskini.
Mimi ndio Babako sema mamako anakuficha tu,

Unakimbilia kuanzisha uzi wakati wewe mwenyewe hata hujui uzi unahusu nini!

Ungekua na akili timamu huwezi kusema ''Mimba zikinyofolewa zinakutwa Duniani'' hapo mimba imenyofolewa ndio ikaja Duniani na ndio maana ikakutwa Duniani,kiumbe huhesabiwa baada ya kuzaliwa,

Ingekua watu wote wana akili za kijinga kama wewe basi umri wa mtoto usingekua unahesabiwa baada ya kuzaliwa,umri ungekua unahesabiwa baada ya mimba kutungwa tu,

Ndio maana nakwambia huna akili.
 
Mimi ndio Babako sema mamako anakuficha tu,

Unakimbilia kuanzisha uzi wakati wewe mwenyewe hata hujui uzi unahusu nini!

Ungekua na akili timamu huwezi kusema ''Mimba zikinyofolewa zinakutwa Duniani'' hapo mimba imenyofolewa ndio ikaja Duniani na ndio maana ikakutwa Duniani,kiumbe huhesabiwa baada ya kuzaliwa,

Ingekua watu wote wana akili za kijinga kama wewe basi umri wa mtoto usingekua unahesabiwa baada ya kuzaliwa,umri ungekua unahesabiwa baada ya mimba kutungwa tu,

Ndio maana nakwambia huna akili.
Huwa sipotezi muda na wanaharamu ambao hata hawajui baba zao ni nani. Wewe ni sawa na manonihino ya mbwa achia mbali ya binadamu. Una kila dalili za useeenge na unatafuta bwanaaa.
 
Back
Top Bottom