bullar
JF-Expert Member
- Aug 16, 2014
- 9,530
- 20,988
Wewe ndio mpuuzi hao IFFHS wamefanya research na wanatambulika na FIFA wewe kama una fact weka data zako mezani sio kuanzisha ubishi huna dataAcha kuuliza maswali ya kipuuzi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ndio mpuuzi hao IFFHS wamefanya research na wanatambulika na FIFA wewe kama una fact weka data zako mezani sio kuanzisha ubishi huna dataAcha kuuliza maswali ya kipuuzi
Endeleeni kuwadanganya wasiojua ila msidhani kila mtu ni mjinga. Hao IFFHS hawana uhusiano wala ushirikiano wowote na FIFA.Wewe ndio mpuuzi hao IFFHS wamefanya research na wanatambulika na FIFA wewe kama una fact weka data zako mezani sio kuanzisha ubishi huna data
Nmekuuliza wewe shida yako ni ni nini? leta data zako ili upingane nao unaleta porojoEndeleeni kuwadanganya wasiojua ila msidhani kila mtu ni mjinga. Hao IFFHS hawana uhusiano wala ushirikiano wowote na FIFA.
Wasikie FIFIA wenyewe wanavyosema:
"No, FIFA is only affiliated with national associations and thus does not employ a ranking system for individual clubs. From time to time, people confuse the International Federation of Football History & Statistics (IFFHS) club ranking system with the FIFA/Coca-Cola World Ranking, though we must stress that FIFA has no affiliation with the IFFHS' ranking."
Umeshindwa kutoa data hata moja aya ngoja niku saidie kwanini Tanzania inatoa timu 4 kwenye CAF tournaments?Na mimi nilikujibu acha kuuliza maswali ya kipuuzi ila naona bado unayauliza
Ndiyo umepost nini iko? Weka link acha mba mba mbaHiyo hapo toka CAF wenyeweView attachment 2749042
Nimekukataza kuuliza maswali ya kipuuzi. Kwa akili zako unadhani Tanzania tuna ligi bora kuzidi Saudi Arabia, USA, Sweden na hata Qatar na Russia? Kwa akili zako umejiuliza inakuwaje Yanga inapanda ila bingwa aliyechukua kombe kwa kumfunga Yanga bado yuko chini?Umeshindwa kutoa data hata moja aya ngoja niku saidie kwanini Tanzania inatoa timu 4 kwenye CAF tournaments?
Anyway tuambie wewe kwa rank zako unaiweka number ngapi?
Ndiyo umepost nini iko? Weka link acha mba mba mba
Weka reference za kuaminika. Hiyo Wikipedia hata wewe unaweza andika. Angalie hiyo article, ukienda chini kwenye references hamna link yoyote kujua hiyo rank imetoka wapi.CAF 5-year ranking - Wikipedia
en.m.wikipedia.org
Kwa hio IFFHS wanamilikiwa na Yanga? kumbe kelele zote hizo hasira zako ilikua ni Yanga umejificha kwenye kichaka finally umetoa makalio njeNimekukataza kuuliza maswali ya kipuuzi. Kwa akili zako unadhani Tanzania tuna ligi bora kuzidi Saudi Arabia, USA, Sweden na hata Qatar na Russia? Kwa akili zako umejiuliza inakuwaje Yanga inapanda ila bingwa aliyechukua kombe kwa kumfunga Yanga bado yuko chini?
Simba alivyocheza na CskA Moskow matokeo yalikuwaje?Nimekukataza kuuliza maswali ya kipuuzi. Kwa akili zako unadhani Tanzania tuna ligi bora kuzidi Saudi Arabia, USA, Sweden na hata Qatar na Russia? Kwa akili zako umejiuliza inakuwaje Yanga inapanda ila bingwa aliyechukua kombe kwa kumfunga Yanga bado yuko chini?
Acha ubishi, umeulizwa unajua kwanini NBCPL inatoa team 4 kwenye mashindano ya CAF lkn hujajibu!Ndiyo umepost nini iko? Weka link acha mba mba mba
Usipate shida ligi iko nafasi ya ngapi ila ni lini vilabu vyetu vitakuwa bingwa michezo ya CAF na nchi kushinda AFCON!Kwa muda sasa kumekuwa na kupongezana kutokana na taarifa kuwa ligi kuu ya NBC ilitangazwa ni ligi ya 5 kwa ubora katika bara la Afrika.
Kwa muda mrefu nimejaribu kuitafuta hii taarifa humu mitandaoni kutoka vyanzo vyovyote vya nje ikiwemo CAF wenyewe ila hadi leo sijawahi kuiona mahali popote.
Kama kuna mtu ana link inayotaja rank hiyo itapendeza akishare katika uzi huu.
Wewe hapo umeona Yanga tu ndiyo imetajwa? Umefuatilia huu uzi toka umeanzishwa hadi nilipoupandisha tena leo?Kwa hio IFFHS wanamilikiwa na Yanga? kumbe kelele zote hizo hasira zako ilikua ni Yanga umejificha kwenye kichaka finally umetoa makalio nje
Acha ubishi, umeulizwa unajua kwanini NBCPL inatoa team 4 kwenye mashindano ya CAF lkn hujajibu!
Mnasambaza taarifa za uongo kutoka vyanzo vya hovyo na kwa kuwa makanjanja walioko kwenye media wako mfukoni mwenu wanawaunga mkono bila kuwahoji, mkiulizwa mnakuja na maswali ya ki*****Usipate shida ligi iko nafasi ya ngapi ila ni lini vilabu vyetu vitakuwa bingwa michezo ya CAF na nchi kushinda AFCON!
Matokeo ya uwanjani ndio muhimu
Nmekwambia leta source yako tuachachane na hio ya uongo una tingisha kalio kama malayaWewe hapo umeona Yanga tu ndiyo imetajwa? Umefuatilia huu uzi toka umeanzishwa hadi nilipoupandisha tena leo?
Ukisikia Yanga inatajwa tu unatoka makamasi mwenye matundu yako yote
Unajificha kwenye kichaka cha burden of proof ila nitakuwashia moto huko huko hadi ukimbie. Tangu lini wikipedia ndiyo wanatangaza viwango vya ligi? Mmekosa link za CAF au FIFA kutetea uongo wenu. Umesema IFFHS wanatambulika na FIFA na nimemsikia hadi msemaji wenu akidai eti ukiingia website ya FIFA utaona wanatumia data za IFFHS, mnajua watu siyo wafuatiliaji. Nimekuwekea post ya FIFA wenyewe wakisema hawana uhusiano wowote na hao makanjanja.Nmekwambia leta source yako tuachachane na hio ya uongo una tingisha kalio kama malaya
Leta source yako ili hii ya uongo tuikatae mbona simple sana au basi tupe rank zako, unabisha kitu huna evidence afadhari alie leta source ya Wikipedia kuliko wewe unaleta maneno matupuUnajificha kwenye kichaka cha burden of proof ila nitakuwashia moto huko huko hadi ukimbie. Tangu lini wikipedia ndiyo wanatangaza viwango vya ligi? Mmekosa link za CAF au FIFA kutetea uongo wenu. Umesema IFFHS wanatambulika na FIFA na nimemsikia hadi msemaji wenu akidai eti ukiingia website ya FIFA utaona wanatumia data za IFFHS, mnajua watu siyo wafuatiliaji. Nimekiwekea post ya FIFA wenyewe wakisema hawana uhusiano wowote na hao makanjanja.
Najua huu uzi utaukimbia bila kuaga, waulize wenzako wanaokujana na taarifa za uongo wanavyonikimbiaga.
Una akili hata za kuvukia barabara wee? Wewe ulivyosema FIFA inaitambua IFFHS ulitumia source gani au mnajambajamba tu huku mitandaoniLeta source yako ili hii ya uongo tuikatae mbona simple sana au basi tupe rank zako, unabisha kitu huna evidence afadhari alie leta source ya Wikipedia kuliko wewe unaleta maneno matupu