Ni wapi na lini CAF walitangaza ligi ya Tanzania ni ya 5 kwa ubora?

Ni wapi na lini CAF walitangaza ligi ya Tanzania ni ya 5 kwa ubora?

Niliuliza hili swali hakuna aliyetoka kuthibitisha kuwa ligi yetu ni kweli ya 5 kwa ubora kupitia vyanzo vya kuaminika.

Nimethibitisha waliosukuma ajenda hii ya ligi kuwa ya 5 kwa ubora ni kundi la watu fulani kwa sababu mtandano huo umekuwa unaonekana kuwabeba katika ranking. Walifanya hivyo ili waweze kurudi kusema "kama mliamini taarifa zile na hizi mziamini". Leo hii mtandao huo huo unasema Yanga ni ya 3 kwa ubora Africa kwa hiyo, kama hamkubisha ile ya ligi na hii hamuwezi kubisha.

Ligi ya 5 kwa ubora lakini inashindwa kutoa waamuzi wa kuchezesha mechi za kimataifa.
Ile ya takwimu ya jana ni ya kihuni.
 
Ile ya takwimu ya jana ni ya kihuni.
Walipush ile ya ligi ikubaliwe na kila mtu ili ikija na hii watembee nayo waseme source ni ile ile. Nawauliza ligi yetu ni bora kuliko ya Saudi Arabia, USA na Sweden, hakuna anayenijibu
 
Walipush ile ya ligi ikubaliwe na kila mtu ili ikija na hii watembee nayo waseme source ni ile ile. Nawauliza ligi yetu ni bora kuliko ya Saudi Arabia, USA na Sweden, hakuna anayenijibu
Ile source ilisema ligi yetu ni bora kuliko Saudi Arabia?
 
Ile source ilisema ligi yetu ni bora kuliko Saudi Arabia?
Yeah. Hao IFFHS walitoa ranking ya ligi 80 duniani, ya Tanzania ikawekwa namba 39 ikiwa juu ya Saudi Arabia, Sweden, USA na Russia. Walichofanya hawa watu, wamechukua ile list wakaangalia ligi gani za Afrika zilizoko juu ya Tanzania, wakaona 4, ndiyo wakaanza kutembea na hiyo rank ya ligi ya 5 kwa ubora Afrika.

Nimewafuatilia hao IFFHS, hawana mbele wala nyuma, ni mradi wa mtu mmoja na unaweza kununua rank kama unapenda sifa za kitoto kama hizi.
 
Kwa muda sasa kumekuwa na kupongezana kutokana na taarifa kuwa ligi kuu ya NBC ilitangazwa ni ligi ya 5 kwa ubora katika bara la Afrika.

Kwa muda mrefu nimejaribu kuitafuta hii taarifa humu mitandaoni kutoka vyanzo vyovyote vya nje ikiwemo CAF wenyewe ila hadi leo sijawahi kuiona mahali popote.

Kama kuna mtu ana link inayotaja rank hiyo itapendeza akishare katika uzi huu.

Unataka link ya nini wakati ligi zote Afrika tunaziona?
Hazijapangwa ubora kama wapanga bet wanavyofanya!
 
Yeah. Hao IFFHS walitoa ranking ya ligi 80 duniani, ya Tanzania ikawekwa namba 39 ikiwa juu ya Saudi Arabia, Sweden, USA na Russia. Walichofanya hawa watu, wamechukua ile list wakaangalia ligi gani za Afrika zilizoko juu ya Tanzania, wakaona 4, ndiyo wakaanza kutembea na hiyo rank ya ligi ya 5 kwa ubora Afrika.

Nimewafuatilia hao IFFHS, hawana mbele wala nyuma, ni mradi wa mtu mmoja na unaweza kununua rank kama unapenda sifa za kitoto kama hizi.
Wale ni wahuni kama Yanga tu
 
Una akili hata za kuvukia barabara wee? Wewe ulivyosema FIFA inaitambua IFFHS ulitumia source gani au mnajambajamba tu huku mitandaoni
Swala la akili yangu achana nalo leta source yako hapa au ukae kimya
 
Swala la akili yangu achana nalo leta source yako hapa au ukae kimya
Screenshot_20230914-195756.png
 
Hii nakubaliana nayo kwasababu misimu mitano ya CAF, Simba ilikusanya point nyingi
 
Yeah. Hao IFFHS walitoa ranking ya ligi 80 duniani, ya Tanzania ikawekwa namba 39 ikiwa juu ya Saudi Arabia, Sweden, USA na Russia. Walichofanya hawa watu, wamechukua ile list wakaangalia ligi gani za Afrika zilizoko juu ya Tanzania, wakaona 4, ndiyo wakaanza kutembea na hiyo rank ya ligi ya 5 kwa ubora Afrika.

Nimewafuatilia hao IFFHS, hawana mbele wala nyuma, ni mradi wa mtu mmoja na unaweza kununua rank kama unapenda sifa za kitoto kama hizi.
IFFHS: Simba SC ya 11 kwa ubora Africa soma hapa
 
Swala la akili yangu achana nalo leta source yako hapa au ukae kimya
Embu acha kunipotezea muda wangu, fuatilia uzi ulipoanza na majadiliano yaliyofanyika huko juu
 
Mbona haukupinga huku
Kwa hiyo kila nyuzi inayoletwa humu unadhani nitaiona? Ulivyoingia kwenye huo uzi uliona niliuchangia? Kama una bando la kufukunyua nyuzi za nyuma, unashindwa nini kupata link ya FIFA au CAF iliyotoa hizo rankings mnazotamba nazo?
 
Back
Top Bottom