Hivi kuna umuhimu wowote wa posti kama hii??Mbona hukumwambia aende na pale ccm Lumumba na kila siku wanapikia mle ndani kama lunch yao? Pia ikulu ipo JK anawapa wakatoliki mle ndani. Jana karudi naye mzima toka songea
duh!!...............asanteni sana skills4ever na belindajacob................jamani hayo maeneo ya migombani-savei mmenikumbusha enzi zangu nakamata buku UD................. duh, ukishabarikiwa na mbusi katoliki, mtu mzima unahamia cafe latino pale sam nujoma road au sisimizi pale daraja la ubungo kwa ajili ya kushushia mbuzi wako kwa maji ya dhahabu.................. hapo ilikuwa unakamata ni mpaka majogooo ................ huku ukitumbuizwa na live band za uswazi kila alhamisi (cafe latino) ................... kama boom halijaanza kulaliia kushoto, unaweza kupata escort ya totoz yako moja uliyoiimbisha nyimbo chini ya mdigree................. aaaggh, jamani acheni tu tuzeeke sasa, tumetoka mbali aisee.....................
Naombeni kwa wale wazoefu mnijuze, ni wapi naweza pata nyama safi ya mdudu kwa ajili ya kuuburudisha mwili na roho yangu for the weekend, nimechoka sana na kazi zimenibana sana nahitaji mdudu nile nitulie hadi jumatatu.
Asanteni sana kwa wale mtakaonijuza na kwa wale mtakaokasirika nawakaribisha pia ila muache wivu
duh! kweli ninmda sijafika pale, mwezi wa pili saahii na sina taarifa!Twiga pub imeungua yote kabisa mwezi wa 2 sasa lbda aende kontena karibu na AAR hospitali regent..
B bar pale kwa Remmi Sinza,tena hapo utakutana na batoto ba mjiniNaombeni kwa wale wazoefu mnijuze, ni wapi naweza pata nyama safi ya mdudu kwa ajili ya kuuburudisha mwili na roho yangu for the weekend, nimechoka sana na kazi zimenibana sana nahitaji mdudu nile nitulie hadi jumatatu.
Asanteni sana kwa wale mtakaonijuza na kwa wale mtakaokasirika nawakaribisha pia ila muache wivu
Elli avatar yako inanitia machungu sana na hii serikali dhalimu, siku ya kupata uhuru wa kweli kutoka ccm tutaweka movie tuangalie tulikotoka haki ya dona shahidi maharagwe ninavyowaona police hata wakija hospitali natamani hata nisiwaone ningetukana lakini naogopa ban. ila unawakilisha sana mkuu.
B bar pale kwa Remmi Sinza,tena hapo utakutana na batoto ba mjini
Haya nitajitahidi nikapate "mnyama" hukoManeno yote ni Mwenge pale nyuma ya TRA karibu na magorofa ya jeshi kuna bingwa anaitwa CHUWA,kuna jamaa alinipa ushuhuda kuwa hakuwahi kula nyumbani kwake kwa siku kama 20 hivi mfululizo maana kila jioni lazima aripoti hapo, ukila rosti unaweza kumtaliki mkeo,mimi huwa nabeba na mkate kabisa wa kumalizia ile rosti.
Jamani nataka member 10 tukale sote ntalipa garama zote za mnyama,,,,,vinywaji ntachangia 20x10 ukitaka zaidi utajazia mnakaribiwa kuni pm,ntanchagua kwa mtindo wa kwanza ku pm niko dsm
karibuni,tuanze mwaka vizuri