duh!!...............asanteni sana skills4ever na belindajacob................jamani hayo maeneo ya migombani-savei mmenikumbusha enzi zangu nakamata buku UD................. duh, ukishabarikiwa na mbusi katoliki, mtu mzima unahamia cafe latino pale sam nujoma road au sisimizi pale daraja la ubungo kwa ajili ya kushushia mbuzi wako kwa maji ya dhahabu.................. hapo ilikuwa unakamata ni mpaka majogooo ................ huku ukitumbuizwa na live band za uswazi kila alhamisi (cafe latino) ................... kama boom halijaanza kulaliia kushoto, unaweza kupata escort ya totoz yako moja uliyoiimbisha nyimbo chini ya mdigree................. aaaggh, jamani acheni tu tuzeeke sasa, tumetoka mbali aisee.....................