Ni wapi naweza kupata nyama safi ya Kitimoto for the weekend hapa Dar

Na wakati wagalatia wanapokwenda kula Christmas Makwao WIZI NA UJAMBAZI UNAPUNGUA SANA MIJINI!

Kumbe eeeh! Mbona nikienda mahakamani majina ninayoyaskia ni kina mwamedi, Hamis, shukuru n the like.
 
Kumbe eeeh! Mbona nikienda mahakamani majina ninayoyaskia ni kina mwamedi, Hamis, shukuru n the like.

Unaenda kufanya nini mahakamani kama sio nyie wachungaji mnao najisi kondoo wachanga.!
 
1. Shekilango opposite na San Cirro
2. B-Bar Sinza
3. Hongera Bar- Bamaga
4. Full Dose-Mabibo
5.
6.
7.
8.
 
5. Survey opposite na kituo cha daladala kama unaenda chuo kikuu ardhi
6. Banana nyuma ya maduka/frem kama unaenda gongo la mboto/kitunda
7. Bwalo la magereza ukonga
8. Tabata kinyerezi(bar nimeisahau jina)
9. Kigambon,kwa dani, mkendo hotel kama unaenda kisiwani(eneo matrafiki wanasimama)
10. Nimesahau.
 
Banana hamna kitu pale.
Njoo Luguruni au hapa Safari Resort Kimara.
hii sred inantia njaa.
 
Kibo bar , jiandae barabara kuelekea shule kimanga na tabata mawenzi njia ya msikitini . Zote tabata mawenzi
 
kontena kitu masaki, halafu dodoma kwa mpare (carebean), na jakana, chalinze kwa baba kelvin huyu mtaalamu wa rosti balaa opposite na amazon. du nimekimic hiki kitu.
 
Migombani-Survey chuo kikuu.Lufungira kama unaelekea Meeda bar.Container bar-Jet lumoBush Babe-Yombo Sigara.
 
sasa mbona ni Dar tu, ndio kusema watu wa nje ya Dar hatutumii, vipi hapa mwanza nitapata wapi.?
 
Hapa nilipo nipo Tabata nakula chair fire safi na mchicha murua huku nikishushia na safri bariiidi ila sijasoma jina nje ngoja ntoke nje nisome jina la mahali hapa patakatifu ili kuweka kumbukumbu sawa.
Namwona mrembo hapa ngoja nimwulize, eti panaitwaje hapa?
 
sasa mbona ni Dar tu, ndio kusema watu wa nje ya Dar hatutumii, vipi hapa mwanza nitapata wapi.?

njoo capri point opposite na ikulu ndogo au maeneo ya villar park ile bar cjui inaitwaje... na kirumba resort!!! kama upo nyakato kuna boma, mtena b na sansiro.... unakingine nikusaidie
 
njoo capri point opposite na ikulu ndogo au maeneo ya villar park ile bar cjui inaitwaje... na kirumba resort!!! kama upo nyakato kuna boma, mtena b na sansiro.... unakingine nikusaidie

Hapo kapri point kuna kitmoto choma safi sana.
 
Cheers Pub Bunju kwa Baharia. Morogoro Msamvu ... Pub nimesahau jina
 
Kumbe Yericko na huku umo? Sio siasa tu
 

mkuu Elli ulishapata ulicho kua una hitaji? tupe mrejesho tafadhali.
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…