Ni wapi naweza kupata nyama safi ya Kitimoto for the weekend hapa Dar

Ni wapi naweza kupata nyama safi ya Kitimoto for the weekend hapa Dar

mkuu Elli ulishapata ulicho kua una hitaji? tupe mrejesho tafadhali.
Hahahah MPwa nimekuwa Expert siku hizi, kuna Kwa Mama Kamche, Kuna Jirani kidogo na kwa Kobe pale kuna kijiwe tena, Ukija Mitaa ya Mabibo kuna kijiwe kinaitwa Full Dose, Dah Full doze ya ukweli na kuna chimbo jingine linaitwa Gonga Zote, acha kabisa hio mambo aiseee. Tamu balaaa
 
Hahahah MPwa nimekuwa Expert siku hizi, kuna Kwa Mama Kamche, Kuna Jirani kidogo na kwa Kobe pale kuna kijiwe tena, Ukija Mitaa ya Mabibo kuna kijiwe kinaitwa Full Dose, Dah Full doze ya ukweli na kuna chimbo jingine linaitwa Gonga Zote, acha kabisa hio mambo aiseee. Tamu balaaa

Nitapita huko
 
Hahahah MPwa nimekuwa Expert siku hizi, kuna Kwa Mama Kamche, Kuna Jirani kidogo na kwa Kobe pale kuna kijiwe tena, Ukija Mitaa ya Mabibo kuna kijiwe kinaitwa Full Dose, Dah Full doze ya ukweli na kuna chimbo jingine linaitwa Gonga Zote, acha kabisa hio mambo aiseee. Tamu balaaa

Amen!!
 
Naombeni kwa wale wazoefu mnijuze, ni wapi naweza pata nyama safi ya mdudu kwa ajili ya kuuburudisha mwili na roho yangu for the weekend, nimechoka sana na kazi zimenibana sana nahitaji mdudu nile nitulie hadi jumatatu.

Asanteni sana kwa wale mtakaonijuza na kwa wale mtakaokasirika nawakaribisha pia ila muache wivu
buchani
 
Back
Top Bottom