Ni wapi naweza pata usafiri wa fuso za kubeba mizigo yangu kutoka Singida hadi Mwanza, baada ya kuhamishwa kikazi

Ni wapi naweza pata usafiri wa fuso za kubeba mizigo yangu kutoka Singida hadi Mwanza, baada ya kuhamishwa kikazi

danmarc

JF-Expert Member
Joined
Feb 25, 2012
Posts
567
Reaction score
115
Habari nimehamishwa KIKAZI kutoka mkoa wa singida kwenda mwanza , na ninauhitaj kuhama na vitu vyangu vyote kama meza ,vitanda ,sofa , TV ,friji NK ,
Naomba kujua Kwa wenyeji wa singida Mjini wapi naweza nikapata ma FUSO yatakayonibebea hivi vitu vyote Kwa pamoja kutoka hapo singida Hadi mwanza
 
Habari nimehamishwa KIKAZI kutoka mkoa wa singida kwenda mwanza , na ninauhitaj kuhama na vitu vyangu vyote kama meza ,vitanda ,sofa , TV ,friji NK ,
Naomba kujua Kwa wenyeji wa singida Mjini wapi naweza nikapata ma FUSO yatakayonibebea hivi vitu vyote Kwa pamoja kutoka hapo singida Hadi mwanza
Hamisha vyote na fuso ila Tv wape posta wakusafirishie kwenye hilo fuso utakuja kulia ujikute umevunjiwa tv yako bure
 
Hamisha vyote na fuso ila Tv wape posta wakusafirishie kwenye hilo fuso utakuja kulia ujikute umevunjiwa tv yako bure
Tv ya 43" kutoka unguja mpaka mwanza kwa posta inaweza cost kiasi gani? (gharama za usafirishaji)
 
Back
Top Bottom