proxy
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 1,479
- 1,348
Habari za mchana wandugu,
Mwanangu ana tatizo la macho, akiwa anaangalia anafanya kama haoni vizuri, yaani macho anafumbua kwa mbali. Hii hali hutokea zaidi kwenye jicho moja, pia akiwa ameshika kitabu huwa anasogeza sana karibu na macho ili aweze kusoma vizuri.
Nimempeleka hospital moja ya rufaa wameniambia walikuwa na wataalamu wa macho hapo lakini kwa sasa wamerudi kwao yaani nje so mpaka wafike tena ndio wanipe taarifa ili mtoto atibiwe.
Ombi langu ni hili ni wapi unaweza pata maspecialist wa macho kwa tatizo la mwanangu?
Mwanangu ana tatizo la macho, akiwa anaangalia anafanya kama haoni vizuri, yaani macho anafumbua kwa mbali. Hii hali hutokea zaidi kwenye jicho moja, pia akiwa ameshika kitabu huwa anasogeza sana karibu na macho ili aweze kusoma vizuri.
Nimempeleka hospital moja ya rufaa wameniambia walikuwa na wataalamu wa macho hapo lakini kwa sasa wamerudi kwao yaani nje so mpaka wafike tena ndio wanipe taarifa ili mtoto atibiwe.
Ombi langu ni hili ni wapi unaweza pata maspecialist wa macho kwa tatizo la mwanangu?