OMOYOGWANE
JF-Expert Member
- Dec 30, 2016
- 4,701
- 11,920
Wakuu heshima kwenu,
Sitaki kuwachosha sana.
Binafsi nilipata kibarua cha muda mfupi ktk mkoa fulani, kibarua changu kinakaribia kuisha, na sitaki kabisa kurudi home.
Kiukweli nimekuwa nikiumiza sana kichwa maisha yatakuaje baada ya hiki kibarua kuisha, nimejibana nkakusanya milioni moja.
Lengo la huu uzi ni kuwauliza walionitangulia, kati ya mjini (majiji, mikoani) na wilayani ni sehemu gani nzuri kwa kijana anayeanza maisha?
NB: Uandishi wangu sio mzuri, lengo ni kufikisha ujumbe wangu kwenu ili mnishauri na kunipa msaada wa mawazo.
Pia unaweza kushare jinsi ulivyoanza maisha ili iwe rahisi kujifunza, naamini na wengine watafaidika pia.
Natanguliza shukrani.
Sitaki kuwachosha sana.
Binafsi nilipata kibarua cha muda mfupi ktk mkoa fulani, kibarua changu kinakaribia kuisha, na sitaki kabisa kurudi home.
Kiukweli nimekuwa nikiumiza sana kichwa maisha yatakuaje baada ya hiki kibarua kuisha, nimejibana nkakusanya milioni moja.
Lengo la huu uzi ni kuwauliza walionitangulia, kati ya mjini (majiji, mikoani) na wilayani ni sehemu gani nzuri kwa kijana anayeanza maisha?
NB: Uandishi wangu sio mzuri, lengo ni kufikisha ujumbe wangu kwenu ili mnishauri na kunipa msaada wa mawazo.
Pia unaweza kushare jinsi ulivyoanza maisha ili iwe rahisi kujifunza, naamini na wengine watafaidika pia.
Natanguliza shukrani.