Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mkuu ile idea yako ya vyombo kupeleka mnadani kwa huo mtaji haifai?(Nimeiona katika moja ya nyuzi zako)Kuna wenzako wanakuja mijini bila hata hela na wanaishi!...milion mbona tajiri kabisa mkuu ukiiheshimu!
Naiona ndefu sana(anaweza anza na 400k tu)!....kuna mikoa wanapenda sana zile mambo aisee imagine kikombe unauziwa 300!sahani 500!...ni wewe tu na mwamvuli wako na mpiga debe!mkuu ile idea yako ya vyombo kupeleka mnadani kwa huo mtaji haifai?(Nimeiona katika moja ya nyuzi zako)
Nakucheck pm unipe hints.Naiona ndefu sana(anaweza anza na 400k tu)!....kuna mikoa wanapenda sana zile mambo aisee imagine kikombe unauziwa 300!sahani 500!...ni wewe tu na mwamvuli wako na mpiga debe!
Naomb nikuchek mm wewe hutaweza..nitakuchek saa2 uskNakucheck pm unipe hints.
Sawa mkuuNaomb nikuchek mm wewe hutaweza..nitakuchek saa2 usk
Mkuu naomba idea yako ya vyombo uiweke hapa itatusaidia na wengine....nataka niingie kujiajiri rasmiNaomb nikuchek mm wewe hutaweza..nitakuchek saa2 usk
Mkuu naomba idea yako ya vyombo uiweke hapa itatusaidia na wengine....nataka niingie kujiajiri rasmi
Sioni nyuzi zangu toka wabadili mifumo mie sielewi😉Mkuu naomba idea yako ya vyombo uiweke hapa itatusaidia na wengine....nataka niingie kujiajiri rasmi
mkuu am sad kwakweli....ukiupata naomba hapa itasaidia wengi sana....hata maneno 20 yanatosha kuelezea idea yakoSioni nyuzi zangu toka wabadili mifumo mie sielewi[emoji6]
mkuu hebu pitia uzi unaitwa ulianzaje kuishi geto tumetupia mambo meng bila shaka utapata kituWakuu heshima kwenu,
Sitaki kuwachosha sana.
Binafsi nilipata kibarua cha muda mfupi ktk mkoa fulani, kibarua changu kinakaribia kuisha, na sitaki kabisa kurudi home.
Kiukweli nimekuwa nikiumiza sana kichwa maisha yatakuaje baada ya hiki kibarua kuisha, nimejibana nkakusanya milioni moja.
Lengo la huu uzi ni kuwauliza walionitangulia, kati ya mjini (majiji, mikoani) na wilayani ni sehemu gani nzuri kwa kijana anayeanza maisha?
NB: Uandishi wangu sio mzuri, lengo ni kufikisha ujumbe wangu kwenu ili mnishauri na kunipa msaada wa mawazo.
Pia unaweza kushare jinsi ulivyoanza maisha ili iwe rahisi kujifunza, naamini na wengine watafaidika pia.
Natanguliza shukrani.