Ni wapi ulipo wewe Recho?

Mbao za Mawe

JF-Expert Member
Joined
May 11, 2015
Posts
23,372
Reaction score
54,943
Huyu mwanadada wa Bongo Fleva aliyewika kwa wimbo wake wa kizunguzungu,upepo,umependeza,nashukuru umerudi yuko wapi ?

Kwa mwenye kufahamu alipo na anafanya nini aseme nimemiss sana uwepo wake katika muziki wa bongo fleva.
 
Tatizo huyu Recho alikuwa ana mpenda sana Ray C sasa inaonekana wanatembelea nyota moja now.

Ila sauti yake nilikuwa naikubali sana, hapa bwana Ruge alivumbua kipaji kwa kweli
 
Tatizo huyu Recho alikuwa ana mpenda sana Ray C sasa inaonekana wanatembelea nyota moja now.

Ila sauti yake nilikuwa naikubali sana, hapa bwana Ruge alivumbua kipaji kwa kweli
Kama anatembelea nyota ya ray c basi yuko pabaya sana ,alikuwa ananikosha kisawa sawa
 
Muulize mnyama , BOSS wa Radar entertainment, T . I . D.........
 
Huyu mwanadada wa Bongo Fleva aliyewika kwa wimbo wake wa kizunguzungu,upepo,umependeza,nashukuru umerudi yuko wapi ?

Kwa mwenye kufahamu alipo na anafanya nini aseme nimemiss sana uwepo wake katika muziki wa bongo fleva.
Si nilisikiaga eti huyu dada alikufaga au..!!![emoji102] [emoji102] [emoji102]
 
Ruby anasema "Atakupa unachotaka
Akutumie anavyotaka "
Ndo alichofanywa recho na mungu mtu
 
Nimesoma heading ni News Alert,nakuja kwenye habari nakutana na swali. Basi sawa.
 
Mkuu huyu recho ni tofauti na yule niliyesikia amefariki???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…