Mbao za Mawe
JF-Expert Member
- May 11, 2015
- 23,372
- 54,943
Kama anatembelea nyota ya ray c basi yuko pabaya sana ,alikuwa ananikosha kisawa sawaTatizo huyu Recho alikuwa ana mpenda sana Ray C sasa inaonekana wanatembelea nyota moja now.
Ila sauti yake nilikuwa naikubali sana, hapa bwana Ruge alivumbua kipaji kwa kweli
[emoji8] [emoji8] [emoji8]teja sasa hivi
Duh!naye kawa teja huo unga una nini hadi vijana wanaupenda namna hiyo?teja sasa hivi
Taken....!Huyu mwanadada wa Bongo Fleva aliyewika kwa wimbo wake wa kizunguzungu,upepo,umependeza,nashukuru umerudi yuko wapi ?
Kwa mwenye kufahamu alipo na anafanya nini aseme nimemiss sana uwepo wake katika muziki wa bongo fleva.
Si nilisikiaga eti huyu dada alikufaga au..!!![emoji102] [emoji102] [emoji102]Huyu mwanadada wa Bongo Fleva aliyewika kwa wimbo wake wa kizunguzungu,upepo,umependeza,nashukuru umerudi yuko wapi ?
Kwa mwenye kufahamu alipo na anafanya nini aseme nimemiss sana uwepo wake katika muziki wa bongo fleva.
Alie fariki ni Recho wa bongo movie!Si nilisikiaga eti huyu dada alikufaga au..!!![emoji102] [emoji102] [emoji102]
Maskni [emoji19] [emoji19] [emoji19] [emoji19]teja sasa hivi
Hakuwa yeye alikuwa recho wa bongo movieSi nilisikiaga eti huyu dada alikufaga au..!!![emoji102] [emoji102] [emoji102]
upo mkoa gani mkuu...?Si nilisikiaga eti huyu dada alikufaga au..!!![emoji102] [emoji102] [emoji102]
Hebu weka wazi hili (umeandika mafumbo)Ruby anasema "Atakupa unachotaka
Akutumie anavyotaka "
Ndo alichofanywa recho na mungu mtu
Yule alikuwa wa bongo movie, huyu naemzungumzia ni wa bongo flevaMkuu huyu recho ni tofauti na yule niliyesikia amefariki???
Kajaribu na ww utuletee mrejeshoDuh!naye kawa teja huo unga una nini hadi vijana wanaupenda namna hiyo?
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]Kajaribu na ww utuletee mrejesho