Mbao za Mawe
JF-Expert Member
- May 11, 2015
- 23,372
- 54,943
Huyu mwanadada wa Bongo Fleva aliyewika kwa wimbo wake wa kizunguzungu,upepo,umependeza,nashukuru umerudi yuko wapi ?
Kwa mwenye kufahamu alipo na anafanya nini aseme nimemiss sana uwepo wake katika muziki wa bongo fleva.
Kwa mwenye kufahamu alipo na anafanya nini aseme nimemiss sana uwepo wake katika muziki wa bongo fleva.