Ni wapi ungependa kuzuru endapo ukiwa na pesa na muda wa kutosha?

Ni wapi ungependa kuzuru endapo ukiwa na pesa na muda wa kutosha?

Kuna muda huwa nazama huko mkuu. Kuna wahabeshi usihangaike kwenda Addis Ababa mkuu.
Unakuta MTT nywele natural mpaka takoni afu yuko kilabuni anakunywa pomoni. Duu inani pain kinyamaa.
Acha kabisa yaani wana ngozi laini wazuri hatari, wahabeshi achana nao ukiwa nae anakuona wewe ndio kila kitu katika maisha yake.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwenye Bustani ya Edeni nikaione hiyo Bustani

maaana nasikia ipo hapa Duniani,nikauone huo

mu apple ulivyo kaa kaa,nione yani palivyo palivyo

na kwa kua nitakua na hela namimi nitaomba nipewe

li apple limoja nilikule kwa gharama yeyote ili nione huo

utamu wa huo mtunda uliosababisha nipo hapa nahenyeka mimi.
 
Hawaii-cliffs-state-waters-Tourists-Pacific-Ocean.jpg
thehawaiilost-20200519-0001.jpg
dan_a_t-20200519-0002.jpg
dan_a_t-20200519-0001.jpg
dylanmstuart-20200519-0001.jpg
hawaiimagazine-20200519-0001.jpg
aliakauaiphotography-20200519-0001.jpg
chrissy__808-20200519-0001.jpg
bluehawaiianhelicopters-20200519-0001.jpg
sammi_travels-20200519-0001.jpg

Hawaii
Sijui nitaBET,AU NITAMPIGA HELA MR.KUKU,ila maaneo nitakuja kufika
 
Back
Top Bottom