Kila la heri aisee hitaji lako likatimie haraka sanaAisee ngoja nitafute pesa nije kushuhudia kabla ya kununua kisiwa changu.
I hope atakua mwenyeji wako mkuu
WuhanMoja ya raha za duniani ni kwenda sehemu ambayo hujawahi kwenda kabla, kuona watu wapya na kujifunza mambo mbalimbali. Safari huweza kuwa ya ndani au nje ya mipaka ya nchi uliyopo
Kikwazo cha wengi kutosafiri huwa ni kukosa uwezo wa kifedha na pia muda wa kuondoka katika shughuli za kiuchumi na kijamii
Endapo ukiwa na pesa na muda ungependa kusafiri kwenda wapi?
Hakika mkuu, nitakualika tukizindue.Kila la heri aisee hitaji lako likatimie haraka sana
Taj mahal...I was there last yr!Hapa!
Naanza kuitafuna hii list hivi karibuni!View attachment 1452938View attachment 1452940View attachment 1452939
Sent using Jamii Forums mobile app
I wish kwenda Mwanza, sijawahi kwenda ,napapenda (samaki)[emoji39]
Ngoja aje atueleze vizuri
Naelewa mkuu, my bad.
Kuna muda huwa nazama huko mkuu. Kuna wahabeshi usihangaike kwenda Addis Ababa mkuu.karatu- naambiwa kuna mabinti wazuri wa kiiraq na sio wachoyo... hela ipo tatzo muda!.
Sent using Jamii Forums mobile app
ntafika huko mkuuKuna muda huwa nazama huko mkuu. Kuna wahabeshi usihangaike kwenda Addis Ababa mkuu.
Unakuta MTT nywele natural mpaka takoni afu yuko kilabuni anakunywa pomoni. Duu inani pain kinyamaa.
Olewa na msukumaI wish kwenda Mwanza, sijawahi kwenda ,napapenda (samaki)[emoji39]