Ni wapi wanafundisha mchezo wa ngumi (boxing) kwa hapa Iringa

Ni wapi wanafundisha mchezo wa ngumi (boxing) kwa hapa Iringa

Joined
Mar 9, 2023
Posts
48
Reaction score
61
Wakazi na wale wenyeji wa Iringa. Naomba mnielekeze sehemu ambayo ni nzuri kwa kujifunza boxing, Mimi ni mgeni katika mkoa huu na nmepata wazo la kujifunza Tamaduni hii ya ngumi (Boxing) kwa lengo la kujiweka sawa kimwili na kiakili,

Naomba kuelekezwa sehemu, iwe gym au mwalimu mzuri atakayenifundisha,

Natanguliza shukhrani zangu za dhati kwenu, Ahsanteni
 
Wakazi na wale wenyeji wa Iringa. Naomba mnielekeze sehemu ambayo ni nzuri kwa kujifunza boxing, Mimi ni mgeni katika mkoa huu na nmepata wazo la kujifunza Tamaduni hii ya ngumi (Boxing) kwa lengo la kujiweka sawa kimwili na kiakili,

Naomba kuelekezwa sehemu, iwe gym au mwalimu mzuri atakayenifundisha,

Natanguliza shukhrani zangu za dhati

nenda ebony fm kamwone edo Bashir atakupeleka iyo mahari
 
Wakazi na wale wenyeji wa Iringa. Naomba mnielekeze sehemu ambayo ni nzuri kwa kujifunza boxing, Mimi ni mgeni katika mkoa huu na nmepata wazo la kujifunza Tamaduni hii ya ngumi (Boxing) kwa lengo la kujiweka sawa kimwili na kiakili,

Naomba kuelekezwa sehemu, iwe gym au mwalimu mzuri atakayenifundisha,

Natanguliza shukhrani zangu za dhati kwenu, Ahsanteni
Huu siyo mchezo achana na hilo wazo
 
Nenda mitaa ya mashine tatu kuna jamaa wanauza used tyres, mwenye office anaitwa mwinyi atakupa abc cause kuna jamaa alikuwa anashinda hapo ni boxer akiitwa baga boy ila kwa sasa kishaharibiwa na visungura
 
Kipindi Cha nyuma nlikua nawaona pale ukumbi wa "hallfare" kama sijakosea mitaa ya kitanzini ......miaka ya 2019/2020 japo sijajua kama bado wanapashia pale ama walihama......

Maana Mimi sikuwa mdau wa boxing Bali ....................
 
Ni hobby pia ni mchezo mzuri kwa afya. Inategemeana wewe unataka nini? Kujilinda au kwa raha zako.
 
Nenda mitaa ya mashine tatu kuna jamaa wanauza used tyres, mwenye office anaitwa mwinyi atakupa abc cause kuna jamaa alikuwa anashinda hapo ni boxer akiitwa baga boy ila kwa sasa kishaharibiwa na visungura
Huyu kaka kama kashaharibikiwa na hvyo vidude, vp anaweza kuwa mwalimu bora kweli
 
Kipindi Cha nyuma nlikua nawaona pale ukumbi wa "hallfare" kama sijakosea mitaa ya kitanzini ......miaka ya 2019/2020 japo sijajua kama bado wanapashia pale ama walihama......

Maana Mimi sikuwa mdau wa boxing Bali ....................
Pale mkuu hawapo sahv na ndo ilkuwa sehem ya kwanza kwenda kuulizia
 
Back
Top Bottom