Ni wasanii wachache wa HIPHOP wana stick na topic moja kwenye uandishi

Ni wasanii wachache wa HIPHOP wana stick na topic moja kwenye uandishi

Kwenye uandishi kuna style nyingi za uandishi na hakuna style bora kuliko nyingine

Style unayo izungumzia wewe inaitwa storytelling, hapa mwandishi huwa ana hadithia mtiririko wa hadithi au kisa au jambo husika
Huko mbele manguli wa storytelling ni kama NAS, Em nk
Mkuu nafkir hujaelewa mantiki ya huu uzi
Me nazungumzia ku stick kwa maana ya
Unakuta ngoma inaitwa labda tunakesha kama cnn yan inazumgumzia maswala ya ku part afu msanii verse nzima anachana kujisifia tuu haelezei kabisa maswala ya part kama jina la ngoma
 
Wachanaji wengi wabovu tu hawawezi ku stick kwenye topic. Ngoma nyingi za siku hizi (hata baadhi za zamani) hazihusu chochote, maniga wanazingatia tu vina na punchlines halafu wanaipa ngoma jina lolote!!
Uandishi wa design hiyo anao sana Chidibenz ..uandishi dhaifu sana
 
Mkuu nafkir hujaelewa mantiki ya huu uzi
Me nazungumzia ku stick kwa maana ya
Unakuta ngoma inaitwa labda tunakesha kama cnn yan inazumgumzia maswala ya ku part afu msanii verse nzima anachana kujisifia tuu haelezei kabisa maswala ya part kama jina la ngoma

Nimekuelewa vizuri sana mkuu

Storytelling ipo ya aina mbili
Kuna ile ya kuelezea kisa mkasa au hadithi
Mfano
Zari la mentari
Zuwena
Mikasi nk nk
Yaani mtu ana hadithia stori fulani

Halafu kuna kuelezea kitu fulani bila mtiririko wa kihadithi
Mfano
Maisha ya boarding
Jua na mvua
Mtazamo
Yaani mtu anaelezea mazingira ya kitu fulani

Lakini ukweli ni kwamba asilimia kubwa ya nyimbo za hip hop ni mchanganyiko huo ambao unaita kushindwa ku stick kwenye mada

Siku hizi jina la wimbo linaweza lisitamkwe kabisa kwenye wimbo husika
 
Anakuambia ukimtoa Roma na fid haon rapper wakumtisha[emoji23]

Anyway kwenye sanaa na michezo kila mtu anamashabiki wake

Kuna watu huyo huyo stamina ndio favorite rapper wao

Kuna sijui umri au tuseme uzoefu ukiufikia unakuwa na mapenzi na maono yako then unaheshimu na ya wengine.

Mana mwisho wasiku hakuna kipimo kinachopima ukali (UKALIMETER)

Your G.O.AT is someone's flop
Kiukweli kipindi stamina anatoka na kabwela nilikua namkubali sana nilikua namkubali sana. ila nahis nilikua sijitambui bado ila nimekuja kugundua ni mmoja wa ma rapper wabovu na wa hovyo sana.

Stamina ana flow nzuri anachokiimba ni ujinga na takataka hayana maana kabisa
 
Kiukweli kipindi stamina anatoka na kabwela nilikua namkubali sana nilikua namkubali sana. ila nahis nilikua sijitambui bado ila nimekuja kugundua ni mmoja wa ma rapper wabovu na wa hovyo sana.

Stamina ana flow nzuri anachokiimba ni ujinga na takataka hayana maana kabisa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] stamina bado sana
 
Kuna NIKKI MBISHI,ONE INCREDIBLE,STERIO,DIZASTA VINA,NASH,SALU T,P MAWENGE hebu kawasikize na hawa pia bila kumsahau mkogwe SOLO THANG
Kwenye hii list Dizasta, Nikki Mbishi na Nash Mc, wamekuwa na consistency kwenye uandishi na harakati zao za muziki.

Masikitiko yangu ni kwa One Incredible, pamoja na uandishi mzuri, uwasilishaji(flow) wake haujabadilika kuleta maana ya aliachoandika.
 
Kwenye uandishi kuna style nyingi za uandishi na hakuna style bora kuliko nyingine

Style unayo izungumzia wewe inaitwa storytelling, hapa mwandishi huwa ana hadithia mtiririko wa hadithi au kisa au jambo husika
Huko mbele manguli wa storytelling ni kama NAS, Em nk
Sio story telling hiyo, anazungumzia ku stick na subject matter,
Story telling ni kama Nikusaidieje ya Prof .Jay,

ila kuna nyimbo kama Dini tumeletewa ya afande Sele, hapo ana flow na subject ya dini na hasimuulii kisa au story moja

Au flow ya afande Sele kwenye Mtazamo, ile sio storytelling, ila ame stick kwenye mada na kila mstari unahusiana na anachokizungumzia
 
Niwape mfano kwenye wimbo wa CNN Ngwea ft FID Q licha ya Jamaa kukiri mwenyewe ilibidi afute verse aandike nyingine bado alikua OFF TOPIC
Ngoma ilikua inazungumzia kukesha na ku part lakini ukiskiliza verse ya FID Q ilikua out of topic kabisa yan jamaa alijisifia tuu

Kwa kifupi huyu jamaa ngoma zake huwa anaongea vitu vingi sana lakini una
💯🤝
 
Kuna ile ngoma ya ukisikia paa ya mkali JCB niliona Fid Q, Jay Moe na Chid Benz walistick kwenye kisa kimoja na kila aliyefuata alikuwa na mwendelezo wa mwenzake alipoishia

Ndio ngoma pekee niliona Fid na Chid wamestick na lengo la wimbo, nahisi JCB atakuwa aliwapa maelekezo nini anataka

Hili dundo huwa nalikubaligi sana. Kama kawaida Mchopanga kawakalisha
 
Kiukweli kipindi stamina anatoka na kabwela nilikua namkubali sana nilikua namkubali sana. ila nahis nilikua sijitambui bado ila nimekuja kugundua ni mmoja wa ma rapper wabovu na wa hovyo sana.

Stamina ana flow nzuri anachokiimba ni ujinga na takataka hayana maana kabisa
Mchane na roma
 
Back
Top Bottom