Ni wasanii wachache wa HIPHOP wana stick na topic moja kwenye uandishi

Ni wasanii wachache wa HIPHOP wana stick na topic moja kwenye uandishi

Anakuambia ukimtoa Roma na fid haon rapper wakumtisha[emoji23]

Anyway kwenye sanaa na michezo kila mtu anamashabiki wake

Kuna watu huyo huyo stamina ndio favorite rapper wao

Kuna sijui umri au tuseme uzoefu ukiufikia unakuwa na mapenzi na maono yako then unaheshimu na ya wengine.

Mana mwisho wasiku hakuna kipimo kinachopima ukali (UKALIMETER)

Your G.O.AT is someone's flop
Ila mbona mwanzo alikua vizuri sema jamaa idea mpya hana...

Ngoma zake za mwanzo alikua nabase sana kulinganisha vitu hiki kama kile , .....kama ...... hivyo yani.

Ila sasa hivi anatafuta vina tu ila hamna jamaa anachoimba aisee.
 
Back
Top Bottom