Ni wasanii wachache wa HIPHOP wana stick na topic moja kwenye uandishi

Ila mbona mwanzo alikua vizuri sema jamaa idea mpya hana...

Ngoma zake za mwanzo alikua nabase sana kulinganisha vitu hiki kama kile , .....kama ...... hivyo yani.

Ila sasa hivi anatafuta vina tu ila hamna jamaa anachoimba aisee.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…