Ni wasanii wapi wa muziki unaowajua wanalazimisha fani?

Ni wasanii wapi wa muziki unaowajua wanalazimisha fani?

Jux mbana pua,alafu mshkaji anajiona Boby Brown flani hivi,kuna ile nyimbo yao na demu wake nae kibiyonsi cha manzese wanaimba sijui"sitoiii natooooooa,sinntankiiiii nanntaaakaaaa"inaboa mpk basi na hawa wamarekoni
 
Japo umesema hajui muziki lakini mi hizi ngoma nazikubali sana,
1.Tundaman ft. Chid Benz-Neilah
2.Tundaman & JI- Nipe Ripoti
Hatar sana hzo ngoma mkuu

Hasa hyo ya nipe rport
 
Mor musc
Harmonise
Wachafu kwa pamoja plus lebo
 
Im serious,darasa ye anaongeaga haraka haraka tu ila hmna kitu.nashangaa hata wimbo wa mziki uzuri wake sijawai uona until now
Mkuu we utakuwa na chuki naye ila darasa ana style ya peke yake ambayo inanogesha mziki na tangu namjua darasa na sikati tamaa na nishike mkono , mpaka sasa enzi za too much, mziki, n.k hajawahi kuniangusha
 
1.Gigy
2.amber lulu
3.Shilole
4.Manfongo
5.Queen dareen
6.Harmo rappa
Amber lulu hapana!!!,japo hana nyimbo nyingi ila wimbo wake wa [HASHTAG]#watakoma[/HASHTAG] uko vizuri,yaani kama sio amber vile!naona kajitahidi sana!!!sikuwahi fikiria kama amber unaweza kuimba!!usikilize huo wimbo!,,
 
Mtoa Post nadhani hujui muziki Peter Msechu ni habari nyingine kabisa usishangae hata wakipambanishwa na kina diamond na kiba ataawaacha mbali but labda ungesema ambao hawashine kivile, pia Ney kama vile unamwonea ni style yake nzuri tu.
 
Ney wa mitageo anajua mziki sema chuki zenu na roho mbaya na labda anapowachana kuwapa makavu wasanii wenu wapenzi kwa vitabia vyao
list yangu
1. Hamorapa
2. Shilole
3. Snura
4. diva
5. Gigy money
 
Back
Top Bottom