Ni wasanii wapi wa muziki unaowajua wanalazimisha fani?

Ni wasanii wapi wa muziki unaowajua wanalazimisha fani?

mtoamada alikua na nia nzuri kabsa lakini kakosea sana hiyo list ya wasanii alowaweka kuanzia peter msechu ,tundaman mpaka nay wamitego hao jamaa wanaimba labda huujui muziki vizuri.mtu kama nay muziki anaujua sema anastaili zake za kuchukua attention. .....muziki ni ubunifu na akili vinginevyo utafeli tu......kutoka kwenye game inaweza kua rahisi lakini kumaintain ni kitu kingine kabsa......hata zaman kuna wasanii walihit na ngoma moja mbili wakapotea na kila wakijaribu kurud hamna kitu..........

1.harmorapa sio msanii huyu analazimisha nadhani management yake ilijua tu ni rahis kupata kiki kwa style alotumia na mwonekano wake
2.wale jamaa wa zenji aboys muziki waache
3.pam daffa sielewi anaimba nini
4.snura sio mwanamuziki wala shilole wanabebwa tu na mionekano nk
5.harmonize sielew muziki wake bado
6.abdu kiba anabebwa tu na jina la kaka yake
7..........
Mkuu we ndo unaujua mziki
 
Na ndiyo maana hata Diamond mnamtizama yeye badala ya mziki wake. Hata huyo Harmorapa akijakupata mafanikio utamuondoa kwenye kundi la wasiojua kuimba.
Mimi simtizami Diamond kimafanikio ya kiuchumi ninamtizama kwa kazi zake za muziki hasa zile za mwanzoni

Siku hizi anapwaya na anaimba hovyo hovyo ila naaknowledge nyimbo zake za mwanzoni.
 
Madee Seneda
Snura
Shilole
Mh temba
Neema wa Mitego
Dudubaya
Harmonize


Hao sielewagi wanafanya nini kwenye muziki
 
List yangu ni hii;

Ney wa mitego.
Queen darlin.
Abdu kiba.
Snura.
Shilole.
Baba levo

Bila kuwasahau na waimba singeli wote
Singeli ni kipaji kile hata we jarbu kuunga maneno alf yawe na vina then uende kwa ile speed ya nyimbo ina dkka 6 hdi nane uone kama haufii njian au sikiliza ujuzi wa dulla makabila nymbo yake ile ya tabia yake alf useme hajui wanapokosea tu nikutumia mdundo mmoja na kuigana baadh ya style za uimbaji
man fongo
sholo mwamba
msaga sumu
mczo
doggo nigga
yuda msaliti
Mc dulla makabila

hawa ndo wanao jua kwangu mm
 
Shishi
Snura
Malaika
Nay wa mitego
Queen darling
Hemedi PhD
Jokate(hajui chochote)
Abdukiba
Usimkosee heshma Hemed Phd jamaa anajua sema anadharau sana that y hana media support anajua kuandka na kuimba pia labda huwe hujasikiliza nyimbo hz

Rest of my life ft Mr blue
On my wedding day
Ni wewe ft Deddy
I am going crazy
 
Na ndiyo maana hata Diamond mnamtizama yeye badala ya mziki wake. Hata huyo Harmorapa akijakupata mafanikio utamuondoa kwenye kundi la wasiojua kuimba.
Ww nawe una chuki binafsi tu hakuna kingne
 
Ka google
Usipende kuongea vitu kwa kukariri,kwa nini watu wawe na chuki na Diamond ni lipi lenye kufanya watu wawe na chuki na huyo jamaa maana kama mafanikio yake mbona wengi tu wana mafanikio na watu hawana hizo unazoita chuki?
 
Back
Top Bottom