Ni watu gani wanajaribu kuzuia mradi wetu wa Bomba la mafuta (EACOP)

Ni watu gani wanajaribu kuzuia mradi wetu wa Bomba la mafuta (EACOP)

Meneja Wa Makampuni

JF-Expert Member
Joined
Jul 7, 2020
Posts
7,899
Reaction score
10,415
Naomba tujadili ndugu zangu.
Mimi nimeumia sana kuna watu wanazuia mradi wetu wa bomba la mafuta.

Mimi najiuliza hawa wanaozuia tumewakosea nini.

Huu mradi kwanini wanauzuia.

Serikali yetu kwanini imekaa kimya juu ya hili.

Ni wakati wasisi kujadili ni nani anasababisha huu mradi wetu unakwama kutolewa fedha ili utekelezaji wake uanze. Ni mtu gani yupo wapi, au ni nchi gani na ipo wapi.

Na kwanini wafanye hivyo wakati kuna miradi kibao kama hii inaendelea hapa duniani. Kwanini waukazanie mradi wa EACOP na kuacha miradi mingine.

Ni wakati wasisi kujadili na kuishauri serikali nini kifanyike juu ya huu mradi.

mmexport1652881974455.jpg
 
Mradi wa bomba ni wakwetu pia maana sisi tunatoa pesa za huo mradi.
Ndio yaleyake ya kuchepuka na mke wa jirani,siku akihama anahama na mke wake,sasa kama ninyi mnatoa pesa mnalia nini,toeni pesa mradi uendelee
 
Tuacheni tuko kwenye Royal tour
Na kama kweli imegharimu 7 bl hii nchi maendeleo msahau

Wakenya wakiandamana Ufaransa kuhakikisha huu mradi haufanyiki Leo ndio marafiki wa HANGAYA

Rafiki asiyekutakia mema ni changamoto huyo
 

Hao ndio wasiotaka mradi


Potential financiers

Mradi ushafikia construction stage na wawekezaji wenyewe sio tia tia maji udhani kama watakosa hiyo hela.
 
Naomba tujadili ndugu zangu.
Mimi nimeumia sana kuna watu wanazuia mradi wetu wa bomba la mafuta.

Mimi najiuliza hawa wanaozuia tumewakosea nini.

Huu mradi kwanini wanauzuia.

Serikali yetu kwanini imekaa kimya juu ya hili.

View attachment 2229492
Huu mradi ulishafeli siku nyingi sana na makampuni makubwa ya mafuta kama BF pamoja na mabenki makubwa duniani yaliyokuwa yanafadhili mradi huu yalishajitoa siku nyingi ila viongozi wetu hawatuambii hili.
 
Naomba tujadili ndugu zangu.
Mimi nimeumia sana kuna watu wanazuia mradi wetu wa bomba la mafuta.

Mimi najiuliza hawa wanaozuia tumewakosea nini.

Huu mradi kwanini wanauzuia.

Serikali yetu kwanini imekaa kimya juu ya hili.

View attachment 2229492
Sio mradi wenu ni mradi wa Uganda na Total ,sisi ni facilitators tuu.

Japo hao fala wanakera sana
 
Huu mradi ulishafeli siku nyingi sana na makampuni makubwa ya mafuta kama BF pamoja na mabenki makubwa duniani yaliyokuwa yanafadhili mradi huu yalishajitoa siku nyingi ila viongozi wetu hawatuambii hili.
Watatafuta pesa wao na kuujenga.Tanzania na Uganda wa float bonds tuu wapate pesa.
 
Huu mradi ukipotea kwa sababu ya mjinga mmoja, ni aheri apotezwe na sio kukaa na mjinga huyo anayesababisha kupotea kwa ajira za watanzania maelfu kwa maelfu na faida kibao kama nchi!

Tunapofika kwenye hili, huwa namsifu mwendazake kwa wale vihelehere wa kujipendekeza kwa wazungu ili wapewe chao kwa kulichongea taifa!
 
Huu mradi ulishafeli siku nyingi sana na makampuni makubwa ya mafuta kama BF pamoja na mabenki makubwa duniani yaliyokuwa yanafadhili mradi huu yalishajitoa siku nyingi ila viongozi wetu hawatuambii hili.
Wazungu wanafiki Sana. Ngoja Mchina aweke pesa yake mwenyewe halafu watarudi kulalamika kuwa BRI haiwashirikishi
 
Huu mradi ukipotea kwa sababu ya mjinga mmoja, ni aheri apotezwe na sio kukaa na mjinga huyo anayesababisha kupotea kwa ajira za watanzania maelfu kwa maelfu na faida kibao kama nchi!

Tunapofika kwenye hili, huwa namsifu mwendazake kwa wale vihelehere wa kujipendekeza kwa wazungu ili wapewe chao kwa kulichongea taifa!
Wewe ni mpumbavu, unaamini mtu mmoja anaweza kuzuia mradi mkubwa kama huo,
Umekuwa ukisifia na kushadadia watu wanaotofautiana na serikali wapotezwe,

Unajiona mzalendo sana, siku atapotezwa ndugu au jamaa yako wa karibu ndio utalia kilio cha mbwa mdomo juu,

Jaribu kuwa na utu, siasa hazilingani na uhai kwa namna yoyote,
 
Back
Top Bottom