Stroke
JF-Expert Member
- Feb 17, 2012
- 37,630
- 47,434
Kwani si kuna wamiliki wa nchi na chama??Inawezekana ndio maana mama akaenda UG. Kwenye hili tusimame na Taifa letu.
Huu ndio wakati muafaka wa kupambania mali yao binafsi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani si kuna wamiliki wa nchi na chama??Inawezekana ndio maana mama akaenda UG. Kwenye hili tusimame na Taifa letu.
Magu angewatukana na kusema tujenge kwa hela zetu wenyewe sijui mama tozo na yule mfalme wa uganda wanasemaje?Naomba tujadili ndugu zangu.
Mimi nimeumia sana kuna watu wanazuia mradi wetu wa bomba la mafuta.
Mimi najiuliza hawa wanaozuia tumewakosea nini.
Huu mradi kwanini wanauzuia.
Serikali yetu kwanini imekaa kimya juu ya hili.
View attachment 2229492
Kampeni Gani? Bomba la Uganda na JPM wapi na wapi!!Mnasahau kuwa ni akina na Tundu Lissu walianzisha hii kampeni kumkomoa JPM
Sasa tunafanyaje juu ya hili swala.Kampeni Gani? Bomba la Uganda na JPM wapi na wapi!!
Acheni kutegemea mikopo, lazima utapewa masharti tu kama hayo.
Huyo mwendazake si ndio alipinga mikopo kivipi tena mkopo wa Bomba ndio imfanye umkumbuke!!Huu mradi ukipotea kwa sababu ya mjinga mmoja, ni aheri apotezwe na sio kukaa na mjinga huyo anayesababisha kupotea kwa ajira za watanzania maelfu kwa maelfu na faida kibao kama nchi!
Tunapofika kwenye hili, huwa namsifu mwendazake kwa wale vihelehere wa kujipendekeza kwa wazungu ili wapewe chao kwa kulichongea taifa!
Tujitegemee kiuchumi, kwanini wasikope benki ya Afrika AfDB mpka waende kwa mabeberu?Sasa tunafanyaje juu ya hili swala.
Labda wanaogopa RibaTujitegemee kiuchumi, kwanini wasikope benki ya Afrika AfDB mpka waende kwa mabeberu?
Hapo kwa wachina kuweka pesa [emoji2088][emoji2088]Wazungu wanafiki Sana. Ngoja Mchina aweke pesa yake mwenyewe halafu watarudi kulalamika kuwa BRI haiwashirikishi