Dar Joto Sana
Member
- Feb 28, 2025
- 55
- 59
- Thread starter
-
- #41
Madam, please stick to the questionKwa upeo finyu wa mleta mada anadhani kuwa nujia ya kupatia habari ni Google na alizozitaja pekee.
Nendab kasome kuhusu "intelligence and information gathering in USA" làbda utapanuwa upeo wako.
Sasa point yako ni nini hasa?Korea Kusini ni Jimbo la Marekani, kama ilivyo Israel kule middle east..
Ni watu wa aina gani wanaofanya kazi Ikulu ya Marekani au Urusi??Sasa point yako ni nini hasa?
Na washikaji wana akili hadi wanatisha. Jambo la kutokea miaka 30 ijayo linaanza kuratibiwa leo.Eti wakuu, leo wakati ninatazama Al Jazeera ghafla ikaja akili mwangu kujiuliza, hivi Ikulu za nchi kama Marekani, Russia, China au Uingereza kuna watu wa aina gani kule wanaajiriwa??
Kwa maana wale jamaa, habari za dunia nzima wanazo, brands zote kubwa duniani ni zao (Google, Microsoft, Meta).
Mambo yanayoendelea katika Ikulu za nchi zote duniani wanajua.
Kuna watu watabisha kuwa Google au Microsoft sio Mali ya Ikulu ya Marekani, but mind you uratibu wa shughuli zote za Marekani mpaka biashara na maisha ya mtu mmoja mmoja hufanyika state house.
State house ikiwa mbovu, tegemea nchi mbovu.
Ni kina nani wanafanya kazi Ikulu za Marekani, Russia na China??
Fani zote zipo wafanya usafi,wapishi,mafundi bomba mafundi umeme wapishi wazoa takataka,madobi,madereva,makanika nkEti wakuu, leo wakati ninatazama Al Jazeera ghafla ikaja akili mwangu kujiuliza, hivi Ikulu za nchi kama Marekani, Russia, China au Uingereza kuna watu wa aina gani kule wanaajiriwa??
Kwa maana wale jamaa, habari za dunia nzima wanazo, brands zote kubwa duniani ni zao (Google, Microsoft, Meta).
Mambo yanayoendelea katika Ikulu za nchi zote duniani wanajua.
Kuna watu watabisha kuwa Google au Microsoft sio Mali ya Ikulu ya Marekani, but mind you uratibu wa shughuli zote za Marekani mpaka biashara na maisha ya mtu mmoja mmoja hufanyika state house.
State house ikiwa mbovu, tegemea nchi mbovu.
Ni kina nani wanafanya kazi Ikulu za Marekani, Russia na China??
Kwani kinachofanya wajue yanayoendelea duniani ni mtu au mifumo mkuu?Hakuna mtu wa kawaida White House mkuu. Unataka kuniambia Marekani hawajui kinachoendelea Ikulu ya South Afrika au Brazil.
Kabla ya Rais wa North Korea kwenda Russia kwa ziara ya kikazi, Marekani alilisema hilo two weeks before.
White House na Kremlin labda kuna aliens mule wanafanya kazi aisee..
Hiyo mifumo imeundwa na nani mkuu?? Mtu au sio mtu??Kwani kinachofanya wajue yanayoendelea duniani ni mtu au mifumo mkuu?
Mifumo imetengenezwa na watu, inasimamiwa na watu kama sisi. Tofauti kubwa moja ninayoiona, wao wameamua kuheshimu mifumo iwaongoze, sisi tuna mifumo ila hatujali, one man show, mabavu na uwezo mdogo wa kuongoza.Hiyo mifumo imeundwa na nani mkuu?? Mtu au sio mtu??
Twende VETA mkuuNitarudi
KAZI ni kipimo cha utu
Twende VETA kaka mkubwaNitarudi
KAZI ni kipimo cha utu