Ni watu wa aina gani wanaofanya kazi Ikulu ya Marekani au Urusi??

Ni watu wa aina gani wanaofanya kazi Ikulu ya Marekani au Urusi??

Kwa upeo finyu wa mleta mada anadhani kuwa nujia ya kupatia habari ni Google na alizozitaja pekee.

Nendab kasome kuhusu "intelligence and information gathering in USA" làbda utapanuwa upeo wako.
Madam, please stick to the question
 
Eti wakuu, leo wakati ninatazama Al Jazeera ghafla ikaja akili mwangu kujiuliza, hivi Ikulu za nchi kama Marekani, Russia, China au Uingereza kuna watu wa aina gani kule wanaajiriwa??

Kwa maana wale jamaa, habari za dunia nzima wanazo, brands zote kubwa duniani ni zao (Google, Microsoft, Meta).

Mambo yanayoendelea katika Ikulu za nchi zote duniani wanajua.

Kuna watu watabisha kuwa Google au Microsoft sio Mali ya Ikulu ya Marekani, but mind you uratibu wa shughuli zote za Marekani mpaka biashara na maisha ya mtu mmoja mmoja hufanyika state house.

State house ikiwa mbovu, tegemea nchi mbovu.

Ni kina nani wanafanya kazi Ikulu za Marekani, Russia na China??
Na washikaji wana akili hadi wanatisha. Jambo la kutokea miaka 30 ijayo linaanza kuratibiwa leo.

Kampeni ya CIA kupunguza uzalishaji wa chakula Afrika naiona inashika kasi. Lakini hatujitambui.

Miaka michache ijayo kuna jambo wanakusudia litokee.
 
Eti wakuu, leo wakati ninatazama Al Jazeera ghafla ikaja akili mwangu kujiuliza, hivi Ikulu za nchi kama Marekani, Russia, China au Uingereza kuna watu wa aina gani kule wanaajiriwa??

Kwa maana wale jamaa, habari za dunia nzima wanazo, brands zote kubwa duniani ni zao (Google, Microsoft, Meta).

Mambo yanayoendelea katika Ikulu za nchi zote duniani wanajua.

Kuna watu watabisha kuwa Google au Microsoft sio Mali ya Ikulu ya Marekani, but mind you uratibu wa shughuli zote za Marekani mpaka biashara na maisha ya mtu mmoja mmoja hufanyika state house.

State house ikiwa mbovu, tegemea nchi mbovu.

Ni kina nani wanafanya kazi Ikulu za Marekani, Russia na China??
Fani zote zipo wafanya usafi,wapishi,mafundi bomba mafundi umeme wapishi wazoa takataka,madobi,madereva,makanika nk
 
Hakuna mtu wa kawaida White House mkuu. Unataka kuniambia Marekani hawajui kinachoendelea Ikulu ya South Afrika au Brazil.

Kabla ya Rais wa North Korea kwenda Russia kwa ziara ya kikazi, Marekani alilisema hilo two weeks before.

White House na Kremlin labda kuna aliens mule wanafanya kazi aisee..
Kwani kinachofanya wajue yanayoendelea duniani ni mtu au mifumo mkuu?
 
Hiyo mifumo imeundwa na nani mkuu?? Mtu au sio mtu??
Mifumo imetengenezwa na watu, inasimamiwa na watu kama sisi. Tofauti kubwa moja ninayoiona, wao wameamua kuheshimu mifumo iwaongoze, sisi tuna mifumo ila hatujali, one man show, mabavu na uwezo mdogo wa kuongoza.
 
Back
Top Bottom