Li ngunda ngali
JF-Expert Member
- Jun 22, 2023
- 707
- 2,572
Kuna taarifa kutokea viunga vya corridor za Yanga kuwa Haji Manara na Mhandisi Hersi ambaye ni Rais wa Yanga haziivi.
"....hujiulizi kwa nini hata hajaposti picha za Hersi akiwa Ufaransa na boss wa Man City kwenye Mkutano wa ECA? Kwa taarifa yako, Manara amemkasirikia Hersi eti kisa usemaji wa Yanga kubakishiwa Kamwe. Jamaa ana nyongo ya kishamba sana yule!"
Duru.
"....hujiulizi kwa nini hata hajaposti picha za Hersi akiwa Ufaransa na boss wa Man City kwenye Mkutano wa ECA? Kwa taarifa yako, Manara amemkasirikia Hersi eti kisa usemaji wa Yanga kubakishiwa Kamwe. Jamaa ana nyongo ya kishamba sana yule!"
Duru.