Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe yuko Ufaransa,Kuna taarifa kutokea viunga vya corridor za Yanga kuwa Haji Manara na Mhandisi Hersi ambaye ni Rais wa Yanga haziivi.
"....hujiulizi kwa nini hata hajaposti picha za Hersi akiwa Ufaransa na boss wa Man City kwenye Mkutano wa ECA? Kwa taarifa yako, Manara amemkasirikia Hersi eti kisa usemaji wa Yanga kubakishiwa Kamwe. Jamaa ana nyongo ya kishamba sana yule!"
Duru.
Mmemtumia kama ndom, leo mnamtupaUsemaji wa enzi za mkoloni hauna nafasi zama hizi.
Yeah,ameacha kuvaa jezi za wapinzani wa simba kimataifa na haendi airport kuwapokea kama zamaniyanga sahivi inaenda kiprofeshino inaenda level za kimataifa haitaki mambo ya kiswahili ww si unamuona hata injinia Hersi ni kiongozi smart hawezi kuendana na mswahili na mropokaji majinuni
Kwa aina ya uongozi uliopo Yanga..ni dhahiri kwamba Haji hana anokofit...yanga sahivi inaenda kiprofeshino inaenda level za kimataifa haitaki mambo ya kiswahili ww si unamuona hata injinia Hersi ni kiongozi smart hawezi kuendana na mswahili na mropokaji majinuni
Khaaa. Mchukueni nyie.Mmemtumia kama ndom, leo mnamtupa
Huyu c ndo yule aliewakogesha kila aina ya matusi na kashfa,kisha mkamchukua hakika aliewaita utopwinyo aliwaza mbali sana.Simba mchukueni shabiki na pia msemaji wenu wa zamani basi. Maana hana tena thamani kwenye timu ya Wananchi.
Wewe kijana wa Mangungu, huyu Haji Manara aliajiriwa na GSM! Tena aliajiriwa kwa lengo la kumlisha matapishi yake mwenyewe. Na GSM siyo Yanga kama ilivyo kwa timu yako ya Simba ambayo tayari ni mali ya Mo (kwa maelezo yake)!Huyu c ndo yule aliewakogesha kila aina ya matusi na kashfa,kisha mkamchukua hakika aliewaita utopwinyo aliwaza mbali sana.
Unasoma bila kuelewa kilichoandikwa, aliyepo Ufaransa ni Eng. HersiKumbe yuko Ufaransa,
Kweli Manara levo za juu saana
Tunaomchukia tuendelee tu kuumia na kumlingishia usemaji wa club
Huyo labda aende Mashujaa ya Mkoani kwao.Simba mchukueni shabiki na pia msemaji wenu wa zamani basi. Maana hana tena thamani kwenye timu ya Wananchi.
Na ndiyo maana Mzee Tozi wa bandarini alimtafuna kirahisiShida haji anapenda kudeka na kujiona mtoto wa mjini kupitiliza
Hv stori ya mzee tozi ni ya ukweli kumbe?!Na ndiyo maana Mzee Tozi wa bandarini alimtafuna kirahisi