CCM heshimu busara za wazee tofauti na hapo hakuna mtakachofanya kikawa na baraka.
Bora hata magufuli alijaribu kufuata nyayo za huyu mzee. Nasikia hata huko TBC wosia wa baba unakuja kwa machale sana maana ni mwiba kwa CCM ya samia iliyo jaa wezi za mali ya umma..