Tlaatlaah
JF-Expert Member
- May 18, 2023
- 24,665
- 25,388
Hata hivyo, sura zaidi ya sekeseke hili zinatarajiwa kujitokeza ikiwa ni pamoja na sura ya kizalendo na ile ya ukibaraka, nazo zitachukua mkondo wake kwa wakati muafaka.
Mpaka sasa,
tayari kuna kanda, makabila na mikoa yao imeonyesha wazi wazi kumuunga mkono mwenyekiti wa wa sasa wa Chadema, na zipo kanda, kabila na mikoa ambayo tayari imejipambanua kumuunga mkono makamu mwenyekiti wa Chadema Taifa wa sasa.
Kwa mtazamo wako kisiasa,
kati ya mafahali hawa wawili wa Chadema, wanao mezea mate nafasi ya uenyekiti wa chama hicho Taifa,
Ni nani kati yao,
anaungwa mkono na kanda nyingi zaidi na zenye wajumbe wengi zaidi, na ana nafasi kubwa zaidi ya kuukwaa uenyekiti wa Chadema Taifa kirahisi zaidi ya mwingine?
Mathalani,
Kanda ya Pwani na kaskazini, tayari zimeonyesha sura ya ghafla wazi wazi kabisa ya kumuunga mkono mwenyekiti wa sasa wa Chadema katika ujumla wake bila kupepesa macho.
Lakini pia,
Kanda za Serengeti, Nyasa Magharibi na ile ya Viktoria zenye jumla ya mikoa zaidi ya15, wajumbe wake wamegawanyika kulingana na makabila na mikoa yao, na baadhi yao walionekana katika siku ya kutangaza nia ya kugombea uenyekiti, makamu mwenyekiti wa Chadema anaemaliza muda wake.
Kwa ujumla,
wapo wanamunga mkono Mbowe lakini pia wapo wanaomuunga mkono Lisu.
Friends, ladies and gentlemen,
Uchaguzi ni numbers na mipango.
Nani ana mipango mikakati na numbers kubwa zaidi, kuliko kukurupuka, makelele na mdomo?🐒
Mungu Ibariki Tanzania.
Mpaka sasa,
tayari kuna kanda, makabila na mikoa yao imeonyesha wazi wazi kumuunga mkono mwenyekiti wa wa sasa wa Chadema, na zipo kanda, kabila na mikoa ambayo tayari imejipambanua kumuunga mkono makamu mwenyekiti wa Chadema Taifa wa sasa.
Kwa mtazamo wako kisiasa,
kati ya mafahali hawa wawili wa Chadema, wanao mezea mate nafasi ya uenyekiti wa chama hicho Taifa,
Ni nani kati yao,
anaungwa mkono na kanda nyingi zaidi na zenye wajumbe wengi zaidi, na ana nafasi kubwa zaidi ya kuukwaa uenyekiti wa Chadema Taifa kirahisi zaidi ya mwingine?
Mathalani,
Kanda ya Pwani na kaskazini, tayari zimeonyesha sura ya ghafla wazi wazi kabisa ya kumuunga mkono mwenyekiti wa sasa wa Chadema katika ujumla wake bila kupepesa macho.
Lakini pia,
Kanda za Serengeti, Nyasa Magharibi na ile ya Viktoria zenye jumla ya mikoa zaidi ya15, wajumbe wake wamegawanyika kulingana na makabila na mikoa yao, na baadhi yao walionekana katika siku ya kutangaza nia ya kugombea uenyekiti, makamu mwenyekiti wa Chadema anaemaliza muda wake.
Kwa ujumla,
wapo wanamunga mkono Mbowe lakini pia wapo wanaomuunga mkono Lisu.
Friends, ladies and gentlemen,
Uchaguzi ni numbers na mipango.
Nani ana mipango mikakati na numbers kubwa zaidi, kuliko kukurupuka, makelele na mdomo?🐒
Mungu Ibariki Tanzania.