Ni wazi mchuano wa Freeman Mbowe na Tundu Lissu umeipasua CHADEMA, na kuibua mgawanyiko wa kikanda, kikabila, na kimikoa

Kwamba naweza kusoma hayo magazeti yako. Yaani takataka zako na za Lucas mwashambwa hiwa sisomi, naangalia heading tu nakupa majibu stahiki.
kama husomi tuliza mawenge na makasiriko sasa,

si ukae na utulivu uinjoy gubu na mihemko yako sasa? una weweseka nini sasa na hujui kitu bongo lala?

tulia upate maelezo ya kina kuhusu hii songombingo ya kabokamchizi baina ya mbowe na Lisu, nyumbu mkubwa we, alaaa!πŸ’
 
 
Kama tunapigania Ukomo wa Ubunge na Nguvu ya Rais tuanze na Ukomo wa Uwenyekiti, kama demokrasia ndo wimbo wetu...
Hayana mfanano.

Katiba kabla haijaweka ukomo mwaka 1995, mambo ya ukomo yalikuwa hayajadiliwi.

Mradi Katiba inaruhusu hakuna tatizo. Wanaotaka kumaliza utawala wake ndani ya CHADEMA wagombee.
 
Dah ccm CHADEMA inawapa jakamoyo sanaπŸ˜‚
Gentleman,
hakuna jakamoyo, mawenge wala mawaa, katika kuelezea ukweli kwa wadau wa JF, juu ya kinachoendelea ndani ya chadema iliyogawanyika vipande vipande katika misingi ya ukanda na ukabila
 
NDO HAPO TUNAPOSEMAGA,,, WANASIASA NI WANAFIKI WAZURI SANA,,, CHADEMA TUNADAI KATIBA MPYA WAKATI YETU MWENYEKITI NI WA KUDUMU KWENYE ZAMA HIZI KWELI?....
ngoja tuaone mwisho wa kuparuana huenda kukawa na kuheshimiana kidogo ndani ya chama hicho
 
Unalazimisha matamanio yako yawe uhalisia sio? Dua la kuku hilo.
 
Unalazimisha matamanio yako yawe uhalisia sio? Dua la kuku hilo.
gentleman,
mimi naeleza kitaalamu mambo yanayotarajiwa wakati wa sekeseke hili ndani ya chadema iliyogawanyika likiendelea....

masuala ya matamanio ya madaraka na vyeo aulizwe huyo amabae leo anatangaza kugombea umakamu mwenyekiti, halafu gafla kesho anatangaza kuutaka uenyekiti taifa
 
Admin pls ondoa baadhi ya threads humu.
Itakuwa rahisi kusoma moja na mtiririko utakaa vizuri
kumbea wewe una mtiririko mzuri wa mambo yaliyopita, yanayoendelea na yanayokuja kwenye sekeseke hili ndani ya chadema iliyogawanyika? si uweke sasa muungwana?

vichwa bendi moja vinapata mawenge na tabu sana eee? dah, pole gentleman
 
Mpasuko 🀣🀣🀣View attachment 3176563
naona body languages na facial expressions zinajieleza vizuri sana kwamba mafahali hawa wawili ndani ya chadema iliyogawanyika, wanajaribu kulazimisha smiles za kinafiki za kiwango cha juu sana lakini inshindikana kukonga nyoyo za wadau kwamba eti wanaelewana na hawana tofauti za kisiasa, dah!
 
Suluhisho hapo ni Mbowe asigombee na Lisu asichaguliwe! Wapo viongozi wenye uwezo tu wengi apewe mmojawapo ili kukinusuru chama!
 
Watu wa Musomo na majasiri sana ila ni aibu wamekubali kutawaliwa na chawa mkuu wa mzee Mbowe bwana Ezekia Wenje.
 
Hawa jamaa hawajui hata Mbowe tunampigania akiwa CHADEMA, akizingua tunamzingua pia.

CHADEMA imevuka U-NCCR magamba hawajui tu.
Machawa bana eti hata Mbowe mtazingua ,nyie kama nani?Mwenzenu Lissu amekuwa jasiri anataka kuondoa chama toka kwa wakabila (Mbowe na kundi lake )nyie mnangangania upuuzi tu .BADILIKENI
 
Huo mgawanyiko na ukanda unaujenga wewe. Pilipili usokula yakuwashia nini?
 
Mpaka sasa,
tayari kuna kanda, makabila na mikoa yao imeonyesha wazi wazi kumuunga mkono mwenyekiti wa wa sasa wa Chadema, na zipo kanda, kabila na mikoa ambayo tayari imejipambanua kumuunga mkono makamu mwenyekiti wa Chadema Taifa wa sasa.
Mshana Jr sijui atakuwa upande wa kabila gani? Aliwashikia bango la kuwabagua kikabila wafuasi wa Mwendazake, now chickens have come home to roost!
(Sishabikii ubaguzi wowote wa kikabila)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…