tayari wenyeviti wa kanda kadhaa, wameshaweka wazi kwamba wanamuunga mkono chairman wa sasa, achilia mbali wale viongozi wa makabila wa mikoa kadhaa ambao tayari nao wameonyesha dhamira ya kumuunga mkono makamu mwenyekiti wa sasa..Huo mgawanyiko na ukanda unaujenga wewe. Pilipili usokula yakuwashia nini?
Katiba ni kitu kinachoishi lazima kiendane na nyakati...Hayana mfanano.
Katiba kabla haijaweka ukomo mwaka 1995, mambo ya ukomo yalikuwa hayajadiliwi.
Mradi Katiba inaruhusu hakuna tatizo. Wanaotaka kumaliza utawala wake ndani ya CHADEMA wagombee.
Tatizo liko wapi? Ndiyo maana CHADEMA tunapigania mabadiliko ya Katiba kwa kuwa yana athari Kwa wananchi.Katiba ni kitu kinachoishi lazima kiendane na nyakati...
Kwa maana hiyo hakuna haja ya kuongelea mabadiliko ya KATIBA yoyote, CHADEMA iendelee kupambana kwenye chaguzi zinazosimamiwa na WAZIRI na WAKURUGENZI WA CCM maana KATIBA inaruhusu..
Ukiwa unasikiliza clip tu fupi fupi za mitandaoni unaweza ukahisi kuna mpasuko ndani ya chadema ,nimemsikiliza TAL sijaona sehemu aliyemsema MBOWE.Hata hivyo, sura zaidi ya sekeseke hili zinatarajiwa kujitokeza ikiwa ni pamoja na sura ya kizalendo na ile ya ukibaraka, nazo zitachukua mkondo wake kwa wakati muafaka.
Mpaka sasa,
tayari kuna kanda, makabila na mikoa yao imeonyesha wazi wazi kumuunga mkono mwenyekiti wa wa sasa wa Chadema, na zipo kanda, kabila na mikoa ambayo tayari imejipambanua kumuunga mkono makamu mwenyekiti wa Chadema Taifa wa sasa.
Kwa mtazamo wako kisiasa,
kati ya mafahali hawa wawili wa Chadema, wanao mezea mate nafasi ya uenyekiti wa chama hicho Taifa,
Ni nani kati yao,
anaungwa mkono na kanda nyingi zaidi na zenye wajumbe wengi zaidi, na ana nafasi kubwa zaidi ya kuukwaa uenyekiti wa Chadema Taifa kirahisi zaidi ya mwingine?
Mathalani,
Kanda ya Pwani na kaskazini, tayari zimeonyesha sura ya ghafla wazi wazi kabisa ya kumuunga mkono mwenyekiti wa sasa wa Chadema katika ujumla wake bila kupepesa macho.
Lakini pia,
Kanda za Serengeti, Nyasa Magharibi na ile ya Viktoria zenye jumla ya mikoa zaidi ya15, wajumbe wake wamegawanyika kulingana na makabila na mikoa yao, na baadhi yao walionekana katika siku ya kutangaza nia ya kugombea uenyekiti, makamu mwenyekiti wa Chadema anaemaliza muda wake.
Kwa ujumla,
wapo wanamunga mkono Mbowe lakini pia wapo wanaomuunga mkono Lisu.
Friends, ladies and gentlemen,
Uchaguzi ni numbers na mipango.
Nani ana mipango mikakati na numbers kubwa zaidi, kuliko kukurupuka, makelele na mdomo?π
Mungu Ibariki Tanzania.
Hakuna wakati mzuri kwa CDM kama huu, demokrasia ya CDM imeonekana waziwazi na hongera sana wana CDM wote. Haya hayawezekani CCM.Hata hivyo, sura zaidi ya sekeseke hili zinatarajiwa kujitokeza ikiwa ni pamoja na sura ya kizalendo na ile ya ukibaraka, nazo zitachukua mkondo wake kwa wakati muafaka.
Mpaka sasa,
tayari kuna kanda, makabila na mikoa yao imeonyesha wazi wazi kumuunga mkono mwenyekiti wa wa sasa wa Chadema, na zipo kanda, kabila na mikoa ambayo tayari imejipambanua kumuunga mkono makamu mwenyekiti wa Chadema Taifa wa sasa.
Kwa mtazamo wako kisiasa,
kati ya mafahali hawa wawili wa Chadema, wanao mezea mate nafasi ya uenyekiti wa chama hicho Taifa,
Ni nani kati yao,
anaungwa mkono na kanda nyingi zaidi na zenye wajumbe wengi zaidi, na ana nafasi kubwa zaidi ya kuukwaa uenyekiti wa Chadema Taifa kirahisi zaidi ya mwingine?
Mathalani,
Kanda ya Pwani na kaskazini, tayari zimeonyesha sura ya ghafla wazi wazi kabisa ya kumuunga mkono mwenyekiti wa sasa wa Chadema katika ujumla wake bila kupepesa macho.
Lakini pia,
Kanda za Serengeti, Nyasa Magharibi na ile ya Viktoria zenye jumla ya mikoa zaidi ya15, wajumbe wake wamegawanyika kulingana na makabila na mikoa yao, na baadhi yao walionekana katika siku ya kutangaza nia ya kugombea uenyekiti, makamu mwenyekiti wa Chadema anaemaliza muda wake.
Kwa ujumla,
wapo wanamunga mkono Mbowe lakini pia wapo wanaomuunga mkono Lisu.
Friends, ladies and gentlemen,
Uchaguzi ni numbers na mipango.
Nani ana mipango mikakati na numbers kubwa zaidi, kuliko kukurupuka, makelele na mdomo?π
Mungu Ibariki Tanzania.
ni kweli kabisa Lisu hajamsema Mbowe kwa chochote,Ukiwa unasikiliza clip tu fupi fupi za mitandaoni unaweza ukahisi kuna mpasuko ndani ya chadema ,nimemsikiliza TAL sijaona sehemu aliyemsema MBOWE.
hata mimi napongeza sana taamaa na uchu wa madaraka walionao viongozi wa chadema.Hakuna wakati mzuri kwa CDM kama huu, demokrasia ya CDM imeonekana waziwazi na hongera sana wana CDM wote. Haya hayawezekani CCM.
Kwahiyo Palagamba kabudi anatokea wapi na anaongoza Wizara Gani, na Waziri wa fedha analima Nini magimbi mapera? Wewe ni mpumbavu kama wenzioWalima alizeti eti waongoze chadema, hii nchi ina vichekesho
Kwahiyo tubadili KATIBA ili CHADEMA ishinde tu? .. Katiba ya nchi haipo kwa ajili ya CHADEMA tu... Siku zote KATIBA iko na manufaa kwa walioiweka na itawaumiza walio nje ya mfumo...Tatizo liko wapi? Ndiyo maana CHADEMA tunapigania mabadiliko ya Katiba kwa kuwa yana athari Kwa wananchi.
Katiba ya CHADEMA haipo Kwa ajili ya Mbowe. Yaani tubadili Katiba ili tu Mbowe asigombee?
ππΉπΊ Wachawi!Hata hivyo, sura zaidi ya sekeseke hili zinatarajiwa kujitokeza ikiwa ni pamoja na sura ya kizalendo na ile ya ukibaraka, nazo zitachukua mkondo wake kwa wakati muafaka.
Mpaka sasa,
tayari kuna kanda, makabila na mikoa yao imeonyesha wazi wazi kumuunga mkono mwenyekiti wa wa sasa wa Chadema, na zipo kanda, kabila na mikoa ambayo tayari imejipambanua kumuunga mkono makamu mwenyekiti wa Chadema Taifa wa sasa.
Kwa mtazamo wako kisiasa,
kati ya mafahali hawa wawili wa Chadema, wanao mezea mate nafasi ya uenyekiti wa chama hicho Taifa,
Ni nani kati yao,
anaungwa mkono na kanda nyingi zaidi na zenye wajumbe wengi zaidi, na ana nafasi kubwa zaidi ya kuukwaa uenyekiti wa Chadema Taifa kirahisi zaidi ya mwingine?
Mathalani,
Kanda ya Pwani na kaskazini, tayari zimeonyesha sura ya ghafla wazi wazi kabisa ya kumuunga mkono mwenyekiti wa sasa wa Chadema katika ujumla wake bila kupepesa macho.
Lakini pia,
Kanda za Serengeti, Nyasa Magharibi na ile ya Viktoria zenye jumla ya mikoa zaidi ya15, wajumbe wake wamegawanyika kulingana na makabila na mikoa yao, na baadhi yao walionekana katika siku ya kutangaza nia ya kugombea uenyekiti, makamu mwenyekiti wa Chadema anaemaliza muda wake.
Kwa ujumla,
wapo wanamunga mkono Mbowe lakini pia wapo wanaomuunga mkono Lisu.
Friends, ladies and gentlemen,
Uchaguzi ni numbers na mipango.
Nani ana mipango mikakati na numbers kubwa zaidi, kuliko kukurupuka, makelele na mdomo?π
Mungu Ibariki Tanzania.
Ukanda ,ubaguzi ,ukabila tumewaachieni nyieHata hivyo, sura zaidi ya sekeseke hili zinatarajiwa kujitokeza ikiwa ni pamoja na sura ya kizalendo na ile ya ukibaraka, nazo zitachukua mkondo wake kwa wakati muafaka.
Mpaka sasa,
tayari kuna kanda, makabila na mikoa yao imeonyesha wazi wazi kumuunga mkono mwenyekiti wa wa sasa wa Chadema, na zipo kanda, kabila na mikoa ambayo tayari imejipambanua kumuunga mkono makamu mwenyekiti wa Chadema Taifa wa sasa.
Kwa mtazamo wako kisiasa,
kati ya mafahali hawa wawili wa Chadema, wanao mezea mate nafasi ya uenyekiti wa chama hicho Taifa,
Ni nani kati yao,
anaungwa mkono na kanda nyingi zaidi na zenye wajumbe wengi zaidi, na ana nafasi kubwa zaidi ya kuukwaa uenyekiti wa Chadema Taifa kirahisi zaidi ya mwingine?
Mathalani,
Kanda ya Pwani na kaskazini, tayari zimeonyesha sura ya ghafla wazi wazi kabisa ya kumuunga mkono mwenyekiti wa sasa wa Chadema katika ujumla wake bila kupepesa macho.
Lakini pia,
Kanda za Serengeti, Nyasa Magharibi na ile ya Viktoria zenye jumla ya mikoa zaidi ya15, wajumbe wake wamegawanyika kulingana na makabila na mikoa yao, na baadhi yao walionekana katika siku ya kutangaza nia ya kugombea uenyekiti, makamu mwenyekiti wa Chadema anaemaliza muda wake.
Kwa ujumla,
wapo wanamunga mkono Mbowe lakini pia wapo wanaomuunga mkono Lisu.
Friends, ladies and gentlemen,
Uchaguzi ni numbers na mipango.
Nani ana mipango mikakati na numbers kubwa zaidi, kuliko kukurupuka, makelele na mdomo?π
Mungu Ibariki Tanzania.
kubadili mtindo wa matumizi ya fedha za chama, kutoka mfumo ambao unasimamiwa na chairman
kwani alizochangiwa za gari zilienda kwenye mfuko wa nani? na mbona alitumia chadema kama platform ya kuchangisha pesa binafsi?Ungemsikiliza vizuri amesema kwamba kwasasa fedha zinaenda mifukoni "Mwao" yaani mtu anayechangisha na ameji-include hadi na yeye na amejitolea mfano hata nikichangisha mimi(yeye lissu) ,kwahiyo unavyosema mfumo wa mwenyekiti wakati hata mwanachama akianzisha inaenda mfukoni kwake inategemea na project anayofanya.
There you are.kwani alizochangiwa za gari zilienda kwenye mfuko wa nani? na mbona alitumia chadema kama platform ya kuchangisha pesa binafsi?
na je,
press conference anazoitishaga kudai fidia kutoka tigo, na fedha anazoidai Serikali zinaenda kwenye mfuko wa nani?
Na mbona anatumia chadema kama platform ya madai yake binafsi?
au hiyo ndio ile inayoitwa, nyani haoni kundule?π
Wakati ukuta, wanachama wengi enzi unazosema walikuwa bado wana imani na Mbowe.Lissu hawezi kuipasua CDM. Hajafikia nguvu aliyokuwa nayo Dr. Slaa - lakini yupo.wapi leo.