Wengi wa vijana mawazo yao ata kwenye mitandao na maeneo mengine yanatia hofu ,sijui Kama huko mbeleni tutakuwa na nguvu kazi yenye tija Kama vijana wanawaza:
Ushoga
Ukahaba
Hawawezi kujitegemea,wanalishwa na wamama Tena wazee
Kamari
Kula bange
Ulevi na shisha
Kulelewa na majimana
Trisome
Unga
Kutumia chemical hatari kujichubua
Kula unga
Kupiga zogo vijiweni
Utapeli wa mtandao
Kundi la watu angalau wapo timamu Ni over 35
Ushoga
Ukahaba
Hawawezi kujitegemea,wanalishwa na wamama Tena wazee
Kamari
Kula bange
Ulevi na shisha
Kulelewa na majimana
Trisome
Unga
Kutumia chemical hatari kujichubua
Kula unga
Kupiga zogo vijiweni
Utapeli wa mtandao
Kundi la watu angalau wapo timamu Ni over 35