Wengi wa vijana mawazo yao hata kwenye mitandao na maeneo mengine yanatia hofu, sijui kama huko mbeleni tutakuwa na nguvu kazi yenye tija kama vijana wanawaza mambo yasiyo na maana na hawawezi kujitegemea.
Kundi la watu angalau wapo timamu ni over 35.
Kundi la watu angalau wapo timamu ni over 35.