Ni wazi utafiti unahitajika zaidi kuhusu afya ya akili kwa vijana wetu

Lotus 123

JF-Expert Member
Joined
Nov 5, 2021
Posts
3,151
Reaction score
5,513
Wengi wa vijana mawazo yao hata kwenye mitandao na maeneo mengine yanatia hofu, sijui kama huko mbeleni tutakuwa na nguvu kazi yenye tija kama vijana wanawaza mambo yasiyo na maana na hawawezi kujitegemea.

Kundi la watu angalau wapo timamu ni over 35.
 
Hatariii!
 
Huenda hujui hata afya ya akili ni nini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…