Ni wazi Watanzania wote wameanza kuwaelewa Chadema, TEC na wengineo

Ni wazi Watanzania wote wameanza kuwaelewa Chadema, TEC na wengineo

Nasikia eti kuna tetesi kwamba wafanyikazi wa Bandari wanatakwa kama wana sifa waombe kazi bandarini kwa sifa na elimu ya kazi wa nayoiomba
Wanaombaje wakati ni wafanyakazi wa hiyo bandari
 
"Wafanyakazi wachague kujiunga na DP world au.....!".yale yaliyokuwa yanasemwa na kupingwa na Viongozi ndio yanaenda kutokea.
Dp wooooorlddddddf
 
Sasa ni wazi kila mtanzania anaelewa wazi matamko ya kina Mwambukusi,Dr Slaa,Mdude,Chadema na TEC!

Sasa hivi wote tuna nena lugha moja wote tunaongea lugha moja na wote tumeanza kuelewana na sote sasa tumeanza kuwa na utulivu na sote tuna tafakari!

Sote kuanzia wafanyakazi wa bandari na watanzania wote tunaongea lugha moja kabisa na tunaelewana!

Nina hakika kwa mara ya kwanza Chadema na TEC na wakina Mwambukusi wanaweza ombwa msamaha hata kimoyo moyo!

Ashukuriwe Mungu ambaye aliumba neno “wakati” “muda” tuliona ni mbali sana lakini hatimaye sote tuna nena lugha moja!

Wanasema nyakati zitatupa mambo mengi tuvumilie na sasa zimeanza kuzaa matunda!

View attachment 2943291
Wanasema" time will tell the tell"
 
Sasa ni wazi kila mtanzania anaelewa wazi matamko ya kina Mwambukusi,Dr Slaa,Mdude,Chadema na TEC!

Sasa hivi wote tuna nena lugha moja wote tunaongea lugha moja na wote tumeanza kuelewana na sote sasa tumeanza kuwa na utulivu na sote tuna tafakari!

Sote kuanzia wafanyakazi wa bandari na watanzania wote tunaongea lugha moja kabisa na tunaelewana!

Nina hakika kwa mara ya kwanza Chadema na TEC na wakina Mwambukusi wanaweza ombwa msamaha hata kimoyo moyo!

Ashukuriwe Mungu ambaye aliumba neno “wakati” “muda” tuliona ni mbali sana lakini hatimaye sote tuna nena lugha moja!

Wanasema nyakati zitatupa mambo mengi tuvumilie na sasa zimeanza kuzaa matunda!

View attachment 2943291
Pesa mlipeleka wapi mlizopewa na Tajiri?

View: https://www.instagram.com/p/C45V-dxKZJP/?igsh=MXg3b3QwcGp5YW94Yw==
 
Sawa
Sasa ni wazi kila mtanzania anaelewa wazi matamko ya kina Mwambukusi,Dr Slaa,Mdude,Chadema na TEC!

Sasa hivi wote tuna nena lugha moja wote tunaongea lugha moja na wote tumeanza kuelewana na sote sasa tumeanza kuwa na utulivu na sote tuna tafakari!

Sote kuanzia wafanyakazi wa bandari na watanzania wote tunaongea lugha moja kabisa na tunaelewana!

Nina hakika kwa mara ya kwanza Chadema na TEC na wakina Mwambukusi wanaweza ombwa msamaha hata kimoyo moyo!

Ashukuriwe Mungu ambaye aliumba neno “wakati” “muda” tuliona ni mbali sana lakini hatimaye sote tuna nena lugha moja!

Wanasema nyakati zitatupa mambo mengi tuvumilie na sasa zimeanza kuzaa matunda!

View attachment 2943291
Sawa sawa tutaelewana tu.
 
Sasa ni wazi kila mtanzania anaelewa wazi matamko ya kina Mwambukusi,Dr Slaa,Mdude,Chadema na TEC!

Sasa hivi wote tuna nena lugha moja wote tunaongea lugha moja na wote tumeanza kuelewana na sote sasa tumeanza kuwa na utulivu na sote tuna tafakari!

Sote kuanzia wafanyakazi wa bandari na watanzania wote tunaongea lugha moja kabisa na tunaelewana!

Nina hakika kwa mara ya kwanza Chadema na TEC na wakina Mwambukusi wanaweza ombwa msamaha hata kimoyo moyo!

Ashukuriwe Mungu ambaye aliumba neno “wakati” “muda” tuliona ni mbali sana lakini hatimaye sote tuna nena lugha moja!

Wanasema nyakati zitatupa mambo mengi tuvumilie na sasa zimeanza kuzaa matunda!

View attachment 2943291
Hiyo picha hapo chini sijui kama wanamalinda
 
Nasikia eti kuna tetesi kwamba wafanyikazi wa Bandari wanatakwa kama wana sifa waombe kazi bandarini kwa sifa na elimu ya kazi wa nayoiomba
Kwa hiyo kumbe mamlaka iliyokuwa imewaajiri mwanzo ni wendawazimu kiasi walishindwa kuajiri watu kutokana na taaluma zao?
 
Muda ni Wakati LIMELIPUKA!!!!

Moshi wa Chetezo hauendi bure....
 
Mbona wengi wataachwa au kupelekwa Halmashauri kulinda ajira zao
 
Back
Top Bottom