Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
200% correct. ZZK akifika miaka 50 atakuwa hana tofauti na Prof. LipumbafuKule Zanzibar wajipange watafute platform nyingine ya kufanya siasa za Upinzani. Kwa ZZK walipotea njia, yule ni tapeli.
Chama gani ndo Shibe!ACT Njaa
Kuna mengi yatatafsiriwa:-Unaongeaje na chakula mdomoni?
Daaah inasikitishaACT Njaa
Yes am serious.. sijamskia kabisa hii miaka 3 iliyopita.... ukimuona mwambie ameacha siasa au vip...Naatombe mushi, so unasema una miaka 2 humfuatilii Zitto ila unajua kuwa she kuhizi zitto kapotea .are serious
USSR
Hahaha... Akina Jusa wameshazikwa kisiasa. Itakuwa wanajitafakari sani...Kule Zanzibar wajipange watafute platform nyingine ya kufanya siasa za Upinzani. Kwa ZZK walipotea njia, yule ni tapeli.
Hahahaaaa... ccm amejua kucheza na akili za Act, inasikitisha sanaSubiri sherehe za Mapinduzi ya Zanzibar Jan 12
Kwa maoni yangu, Zitto kashapotea kisiasaAtainuka si muda mrefu. 2024 ile pale.
Inawezekana kuna ukweli kwenye hili.... iweje tangu Samia awe rais na yeye kaufyata???Mkataba wao na Samia unamtaka ima anyamaze au aunge mkono
Utayaona makeke yake kwenye "pre match" mwaka 2024.Kwa maoni yangu, Zitto kashapotea kisiasa
Nakazia hapo.... hivi yule Zitto tulikuwa tunamskia miaka ya nyuma akipiga siasa za kiushindani, imekuaje leo hii yupo kimya kama maji ya mtungini... ipo namna hapa sio bureUnaongeaje na chakula mdomoni?
Chama kimeshakufa tayariAma niseme hiki chama cha ACT Wazalendo au mwenyekiti wake Zitto Kabwe ni kama wameshakubali kushindwa siasa za Tanzania, au niseme tu labda wamepoteza mwelekeo.
Nikiri kwamba kati ya miaka ya 2016 mpaka 2019, Zitto alikuwa mwanasiasa active sana, na mimi mwenyewe ilikuwa ni mojawapo ya watu ilikuwa kila siku namfuatilia kwa karibu sana hususana twitter.
Ila nikaja kushangaa ghafla, anaanza kujiita mwanaharakati wa Tigray, hapo ndo nikaona huyu ameshapotea kwenye siasa za Tanzania na baada ya hapo na kuendelea yaani kuanzia mwaka 2020 mpaka leo hii, sijawah kumfuatilia tena Zitto Kabwe kwa karibu, nimehisi ya kwamba amepoteza relevance. Na hata na hivo kwa hii miaka 2 sijaona kama Zitto yupo series kufanya siasa za kiushindani tena.
Ukija kwa chama chake ACT Wazalendo, napo strategy ni hiyo hiyo. Hakuna relevance, hapa kati kwenye issues za bandari sijawasikia kabisa. Issue za Ngorongoro na wamasai pia sijawasikia.
Kwasababu mimi ninachoamini, ukijiita chama cha siasa, inatakiwa usimamie kwenye issues za kitaifa na uoneshe msimamo thabiti wa chama chako kwenye hiyo issue.
Asa kwa ACT na Zitto sijaona kwa hiki kipindi cha miaka 3 kama wamekuwa wanafanya mapambano kama wenzao wa CHADEMA.
ACT na Zitto waamshwe, naona kama wamepotea!
N. Mushi
naanza kuamini maneno yako Zitto haaminik kwenye siasa... huwez kuwa mpinzani usiyefanya siasa... ipo namnaAnasubiri mama yake aondoke ikulu ndio akili zimrudie, ana siasa za kinafiki sana.
NaamZitto wa ukweli alikuwa ni wa CHADEMA,aliopo sasa ni msukule wa Zitto,Zitto halisi alishauawa kwa kupigwa risasi na wazee wa magamba.
Nakazia hapo.... inawezekana anacheza mechi mbili kwa wakati mmojaHe is caught 'between a rock and a hard place'
Inawezekana, ila nawasifu CHADEMA kumuondoa huyu mtu alikuwa anaenda kuua chama..DHAMBI YA USALITI KWA UPINZANI WA DHATI INAMTAFUNA