Ni wivu ama wanahoja ya kusikilizwa: Wanawake wamjia juu Mchezaji Sadio Mane (31) baada ya kumuoa binti mdogo miaka 18

Ni wivu ama wanahoja ya kusikilizwa: Wanawake wamjia juu Mchezaji Sadio Mane (31) baada ya kumuoa binti mdogo miaka 18

sky soldier

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2020
Posts
5,407
Reaction score
19,264
1704898969512.png


Sadio Mane kwa sasa anachezea timu ya Al Nassr, Mshahara wake kila wiki ni takribani dola za kimarekani 830,000 ambazo ni sawa na shilingi za kitanzania bilioni mbili kila wiki.

Kwa nchi kama senegal wanafuata sheria za kiislam na kiafrika ambazo zinaruhusu kuanza mahusiano na binti mwenye miaka 16 ila saido alimsubiri afike 18.

Kilichofanyika ni kwamba Mwaka juzi Sadio akiwa na miaka 29 alienda kujitambulisha kwa familia ya huyo binti kipindi ana miaka 16, Akaweka posa wamtunzie huyo binti atamuoa akifika miaka 18, kwa muda huo Sadio alichukua jukumu la kumlipia ada ya shuleni huyo binti, Shule aliyosoma inasemekana ilikuwa ni ya kidini.

Wanawake wengi mitandaoni wamelipukwa kwa hasira wakisema bado binti ni mdogo, Kwamba Sadio angetafuta hata mwanamke mwenye 25
 
mimi mwenyewe sijaelewa, ila kwa vile ndo mila basi sawa tu.... hapa mambo yameenda kiislamu zaidi
huelewi Nini Miaka 18 Via Vya Uzazi Vimekomaa Kabisa Analika Bila Chumvi Hakuna Dini Hapo,mm Hata Miaka 16 Akinipa Napiga, Hao Wa Miaka 25 Vina Vimeshaongezeka Kina Hawafai Hata Kulumangia.Kiufup Jamaa Kacheza Kama Pele Sasa Hv Anainjoi Tu Maungo Ya Uzazi Ya Binti
 
huelewi Nini Miaka 18 Via Vya Uzazi Vimekomaa Kabisa Analika Bila Chumvi Hakuna Dini Hapo,mm Hata Miaka 16 Akinipa Napiga, Hao Wa Miaka 25 Vina Vimeshaongezeka Kina Hawafai Hata Kulumangia.Kiufup Jamaa Kacheza Kama Pele Sasa Hv Anainjoi Tu Maungo Ya Uzazi Ya Binti
Uko sahihi mkuu,

Lakini kwa binti wa miaka 18 kwa ulimwengu wa sasa ana mambo mengi sana, huyo kalelewa kiislamu sana

Nawaona wanavokuja kuniita feminist
 
Huwa na washangaa sana wazungu kwamba 18 mdogo wakati kwao wanaongoza kuwa na ma single mother wenye umri wa miaka16 tena wengine hadi 14,,furaha yao muendelee kuzini #Evilbeings
Nani alikudanganya kua wazungu wanaona mtu wa 18 ni mdogo??? Sasa ughaibunni mtu akifikisha 18 ndio mtu mzima huyo anaweza kupiga kura na kufanya kazi bila shida na kuolewa na kujitegemea pia.
 
View attachment 2867581

Sadio Mane kwa sasa anachezea timu ya Al Nassr, Mshahara wake kila wiki ni takribani dola za kimarekani 830,000 ambazo ni sawa na shilingi za kitanzania bilioni mbili kila wiki.

Kwa mujibu wa taarifa zinasema Sadio Mane amemsomesha huyu binti Tamba (18) kabla ya kumuoa mwaka huu.

Kwa nchi kama senegal wanafuata sheria za kiislam na kiafrika ambazo zinaruhusu kuanza mahusiano na binti mwenye miaka 16, Sadio Mane alimchumbia mapema kwa makubaliano kwamba wataanza mahusiano yao rasmi akimaliza shule, Sadio ndie alikuwa anamlipia ada.

Wanawake wengi mitandaoni wamelipukwa kwa hasira wakisema bado binti ni mdogo, Kwamba Sadio angetafuta hata mwanamke mwenye 25
Ni wivu tu,, pia Hawana haki ya kuingilia maisha yake.... Na hiyo miaka 25 KWa sasahvi tena KWa mwanamke... Asilimia kubwa ni makurumbembe hatari...
 
Wanataka achukue used! Hawa toxic feminists wanachotaka ndoa zisiwepo tu basi. Sheria iliporuhusu wa miaka 14 kuolewa kelele ikasogezwa 16 kelele ikasogezwa 18 bado kelele!! Mtu na hela zake aachwe achukue kifaa kipyaaaa!
 
Back
Top Bottom