Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
Dah😀🤣Binafsi mke wng wa 2 atakuwa mdogo sn
Ila hapana mazee.. KATAA NDOA. NDOA NI MTEGO. KUHANGAIKA NA WANAWAKE N UPUUZ USIUMIZE KICHWA KHS HAWA WANAWAKE N WALE WALE TU
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah😀🤣Binafsi mke wng wa 2 atakuwa mdogo sn
Ila hapana mazee.. KATAA NDOA. NDOA NI MTEGO. KUHANGAIKA NA WANAWAKE N UPUUZ USIUMIZE KICHWA KHS HAWA WANAWAKE N WALE WALE TU
Mpaka amefikia kuoa means amemkubali kwa yote.Ila kiukweli kitoto hicho sidhani hata kama kina akili vizuri
Naunga mkono hoja😂Wanataka achukue used! Hawa toxic feminists wanachotaka ndoa zisiwepo tu basi. Sheria iliporuhusu wa miaka 14 kuolewa kelele ikasogezwa 16 kelele ikasogezwa 18 bado kelele!! Mtu na hela zake aachwe achukue kifaa kipyaaaa!
Haijalishi kitoto ni kitoto bila kujali kimekubali au laaa tena inaonekana kameanza kukunwa miaka miwili nyumaMpaka amefikia kuoa means amemkubali kwa yote.
Huyo binti wa miaka 18 kumbuka sio wa huku kwetu Mbande tunakula ugali na mlenda.
Watu hawako serious...18? Mtoto?
Miaka 25 mwanamke wa kiafrika tayari mbususu ipo nyang'anyang'aView attachment 2867581
Sadio Mane kwa sasa anachezea timu ya Al Nassr, Mshahara wake kila wiki ni takribani dola za kimarekani 830,000 ambazo ni sawa na shilingi za kitanzania bilioni mbili kila wiki.
Kwa mujibu wa taarifa zinasema Sadio Mane amemsomesha huyu binti Tamba (18) kabla ya kumuoa mwaka huu.
Kwa nchi kama senegal wanafuata sheria za kiislam na kiafrika ambazo zinaruhusu kuanza mahusiano na binti mwenye miaka 16, Sadio Mane alimchumbia mapema kwa makubaliano kwamba wataanza mahusiano yao rasmi akimaliza shule, Sadio ndie alikuwa anamlipia ada.
Wanawake wengi mitandaoni wamelipukwa kwa hasira wakisema bado binti ni mdogo, Kwamba Sadio angetafuta hata mwanamke mwenye 25
Kuna wanafiki humu kama kawaida yaoWatu hawako serious...
Waje huku vijijini waone tunavyo olewa na miaka 16
Jamaa kaopoa namba E za mbele kabisa 😀View attachment 2867581
Sadio Mane kwa sasa anachezea timu ya Al Nassr, Mshahara wake kila wiki ni takribani dola za kimarekani 830,000 ambazo ni sawa na shilingi za kitanzania bilioni mbili kila wiki.
Kwa nchi kama senegal wanafuata sheria za kiislam na kiafrika ambazo zinaruhusu kuanza mahusiano na binti mwenye miaka 16 ila saido alimsubiri afike 18.
Kilichofanyika ni kwamba Mwaka juzi Sadio akiwa na miaka 29 alienda kujitambulisha kwa familia ya huyo binti kipindi ana miaka 16, Akaweka posa wamtunzie huyo binti atamuoa akifika miaka 18, kwa muda huo Sadio alichukua jukumu la kumlipia ada ya shuleni huyo binti, Shule aliyosoma inasemekana ilikuwa ni ya kidini.
Wanawake wengi mitandaoni wamelipukwa kwa hasira wakisema bado binti ni mdogo, Kwamba Sadio angetafuta hata mwanamke mwenye 25
Dada yangu unazunguzia mbande kisewe au mbande rufu au mbande kigamboni 😁😂🤣 mitaa ya wazaramo hiyo 😁😂🤣🤣Mpaka amefikia kuoa means amemkubali kwa yote.
Huyo binti wa miaka 18 kumbuka sio wa huku kwetu Mbande tunakula ugali na mlenda.
Ni wivu tuIla kiukweli kitoto hicho sidhani hata kama kina akili vizuri