Ni wivu au kushindwa kujiamini?

Ni wivu au kushindwa kujiamini?

Bila wivu atajuaje kama nampenda?

Du, babu umenikumbusha mbali hiyo phrase... Wivu, wivu ni ugonjwa jamani, wivu juu ya mume wangu utanikondesha....talalala lala... Hospitali ya wivu sijaijua eeh jamani, ningekwenda siku moja nikatibiweee.... wimbo unaendelea hapo halafu baadae mtu aanaitikia... bila wivu atajuaje kama kweli nampenda aaah jama... Du sijui nilikuwa na miaka mingapi huu wimbo... in those days nyimbo zilikuwa na maeaning kweli kweli... Back to the topic plse!
 
mmh huuu kweli ni wivu duh
wawa hivi...
kila saa simu u(uko wapi ee katavi??? hebu fanya urudi kazini si umetoka tangu saa 3.oo mpaka hii na nusu hujarudi )
akikamata cellphone yako mbio inbox..
ukiongozana nae akutizama machoni usije ukatiza mwanamke..
mkitizama tv usiweke picha yenye mwanamke mrembo ukamkodolea macho hakutalalika tena hapo...etc...
 
Wivu ni kama the use of lemon in fried fish,aha!ikizidi,inaeza ikawa chungu..so its important kwa kiasi.
 
Habari zenu wapendwa katika jina la bwana?
Nawapenda nyote, ila sijui kama nina wivu na nyie ama la!

Nimekuwa nikijiuliza mara kadhaa na kutambua kuwa kuna sababu nyingi zinazoweza kumpelekea mtu kuwa na wivu, ingawa pia hali hiyo haikwepeki kwa vile iko kwenye mfumo wa kihisia zaidi za kibinadamu.
Wakati mwingine ni vigumu kuthibitisha hisia za wivu hali hiyo inapotokea.
Kuna aina nyingi za wivu lakini hapa nazungumzia wivu katika mahusiano ya kimapenzi, wivu huu umegharimu sana maisha ya wapendanao. Wengine kuuana, kutalikiana n.k. Isitoshe bado wengi wanasema kuwa mapenzi bila wivu hayanogi!!!!

Je,ni kwanini basi uwe na wivu kwa mpenzio?
Je, mahusiano ya kimapenzi bila wivu yanawezekana?
je, hali hii tunaweza kuita ni wivu au kutojiamini?

ni ujinga tu. Akipenda kumega/kumegwa atafanya tu. Kwa nini uumize roho?
 
'Mimi ndo bwana Mungu wako,usiabudu miungu mingine' that caps it all!
 
heheheh ok sawa..... but what is limbwata?? au ni ile inayoitwa tangawizi??

Halafu chai ya leo nimewekewa hiyo kitu sasa sijui ndio tayari ngoja nione hadi jioni kama kutakuwa na mabadiliko katika mwili wangu
 
Back
Top Bottom