Bila wivu atajuaje kama nampenda?
wivu ni muhimu sana.....!wivu huamsha hisia za mapenzi kwa yule umpendae...LAKINI SASA usiwe wivu wa kupitiliza
"NEVER GIVE UP", We kiboko...
wawa hivi...
kila saa simu u(uko wapi ee katavi??? hebu fanya urudi kazini si umetoka tangu saa 3.oo mpaka hii na nusu hujarudi )
akikamata cellphone yako mbio inbox..
ukiongozana nae akutizama machoni usije ukatiza mwanamke..
mkitizama tv usiweke picha yenye mwanamke mrembo ukamkodolea macho hakutalalika tena hapo...etc...
Habari zenu wapendwa katika jina la bwana?
Nawapenda nyote, ila sijui kama nina wivu na nyie ama la!
Nimekuwa nikijiuliza mara kadhaa na kutambua kuwa kuna sababu nyingi zinazoweza kumpelekea mtu kuwa na wivu, ingawa pia hali hiyo haikwepeki kwa vile iko kwenye mfumo wa kihisia zaidi za kibinadamu.
Wakati mwingine ni vigumu kuthibitisha hisia za wivu hali hiyo inapotokea.
Kuna aina nyingi za wivu lakini hapa nazungumzia wivu katika mahusiano ya kimapenzi, wivu huu umegharimu sana maisha ya wapendanao. Wengine kuuana, kutalikiana n.k. Isitoshe bado wengi wanasema kuwa mapenzi bila wivu hayanogi!!!!
Je,ni kwanini basi uwe na wivu kwa mpenzio?
Je, mahusiano ya kimapenzi bila wivu yanawezekana?
je, hali hii tunaweza kuita ni wivu au kutojiamini?
You know i do care for your well being
i know i'm ok, good and perfect afterall..shukri to allah only.
Habari za asubuhi
nzuri alhamdulillah... na wewe za kwako??:brushteeth::coffee::typing:
I am good kabisa :coffee::coffee::coffee:
mmmhh nakuona ushakunywa chai mara tatu lol..
Chai ya leo sijui nimewekewa limbwata sijawahi kunywa chai nyingi kiasi hiki tena mapema asubuhi hii yaani niko kikombe cha 7 sasa
heheheh ok sawa..... but what is limbwata?? au ni ile inayoitwa tangawizi??
Halafu chai ya leo nimewekewa hiyo kitu sasa sijui ndio tayari ngoja nione hadi jioni kama kutakuwa na mabadiliko katika mwili wangu
kaazi kweli kweli afrodenzi huyo... :clap2::clap2::clap2::coffee: