Tetesi: Ni yaleyale mlete mzungu. Fernando Da Cruz kocha Mbovu eti ndio kocha mpya Simba, basi Viongozi hawajitambui

Tetesi: Ni yaleyale mlete mzungu. Fernando Da Cruz kocha Mbovu eti ndio kocha mpya Simba, basi Viongozi hawajitambui

William Mshumbusi

JF-Expert Member
Joined
Mar 27, 2012
Posts
1,761
Reaction score
2,391
Wametafuta mzungu asiye na timu anayezulula tu mtaani wakaongea nae. Ifikie sehemu tuheshimu wazawa. Dili la viongozi kupiga Pesa ndefu kwa Mo limekaribia kutiki.

Huyu kocha hajawahi kuongoza timu yoyote ile kwa miaka miwili mfululizo. Anaishiaga nusu msimu.

Viongozi wanaweka siri ili watu wakute tu immo. Kaongoza timu nyingi miezi 4-6. Wanajua hatadumu na watagawana mawe kwenye kuvunja mkataba.

Far Rabat kamaliza nayo tu msimu kutokea katikati wakamtimua.

Bora timu Apewe mzawa kama Morroco, Mgunda au Baba Ester. Tujifunze kwa mamelode. Pistol au Ibenge kwa wakongo.
 
IMG_20231120_101017.jpg

Mi bado najiuliza inamaana Hawa uto wameshapata ruhusa ya kuweka mabango yao hadi huku Zanzibar?
Hii kitu haikubaliki wanasimba wenzangu 😭
 
Simba nayo haijielewi. Mzungu wa Nini Tena. Walimtoa Mgunda wakaleta huyo Robertinho kisa mzungu, mwisho wa siku wakamtimua. Viongozi wa Simba wafanye maamuzi kwa akili .
 
Simba nayo haijielewi. Mzungu wa Nini Tena. Walimtoa Mgunda wakaleta huyo Robertinho kisa mzungu, mwisho wa siku wakamtimua. Viongozi wa Simba wafanye maamuzi kwa akili .
Kwani wametoa taarifa rasmi? Sema kweli makocha kama wanne waliopita simba wana viwango duni, naamini kuna upigaji mkubwa kwenye utafutaji wa makocha na wanafanya makusudi ili wakiharibu watimuliwe ili warudi tena kusajili fasta wapige hela.
Mfano,

1. Pablo alikuwa wa hovyo
2.Zoran Maki wa hovyo
3.Robetinho naye hivvo hivo

Halafu wanaleta wazee waliochoka
 
Dunia ya sasa habari bila picha video clip sw n takataka tu
 
Kwani wametoa taarifa rasmi? Sema kweli makocha kama wanne waliopita simba wana viwango duni, naamini kuna upigaji mkubwa kwenye utafutaji wa makocha na wanafanya makusudi ili wakiharibu watimuliwe ili warudi tena kusajili fasta wapige hela.
Mfano,

1. Pablo alikuwa wa hovyo
2.Zoran Maki wa hovyo
3.Robetinho naye hivvo hivo

Halafu wanaleta wazee waliochoka
Kwenye soka hakuna uzee!! Ukizeeka ndo busara ya ukocha inazidi kuongezeka!! Inaendelea hivyo hadi nguvu za kutembea ziishe!!
 
Back
Top Bottom