Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijaona kuteta,maana Allah sw kafananisha na kula nyama ya ndugu yako aliyekufa,bakora 80 kwa mlevi siyo hukumu ya Allah sw,kuvaa nguo kuvuka enka haikuharamishwa katika Qur'an,kumshirikisha Allah sw na kuua ni dhambi kubwa sanaSio wote wenye access nalo, kwani hupendi kukumbushwa yenye faida ?
Hili jukwaa limefichwa Sana hata sijui malengo ya wahusika ni nini?Mbona mimi silion hili jukwaa..nimekuwa nikilitafuta bila mafanikio
Chchote kinachodhuru mwili wako unashauriwa kukiacha, (makruhu( mfano sigara hudhuru mapafu yakoAsante sana mkuu kwa mimi nilivyoelewa katika hizo dhambi kubwa 70 mbele za Allah, sijaona ikionyesha km kuvuta Moshi ni dhambi yaan dhambi ya kuvuta Moshi wa Ubani au Udi au Moshi wa Sigara hio dhambi sijaiona mkuu, kwa hio ni kwamba kuvuta Moshi sio dhambi au?!
AmiinAtulipe sote habiby
Ila si umesema Mukhruh sio dhambi mkuu,?!C
Chchote kinachodhuru mwili wako unashauriwa kukiacha, (makruhu( mfano sigara hudhuru mapafu yako
Hiyo ni kusengenya ameitaja mkuuSijaona kuteta,maana Allah sw kafananisha na kula nyama ya ndugu yako aliyekufa,bakora 80 kwa mlevi siyo hukumu ya Allah sw,kuvaa nguo kuvuka enka haikuharamishwa katika Qur'an,kumshirikisha Allah sw na kuua ni dhambi kubwa sana
That doesnt work because most people end up doing the same vice again. Once you realize that the sin is not the problem but the result of the problem you will start dealing with the problem and you will lack the ability to commit the sin ever again.Na ndio maana we sincerely repent, pia sikatai wewe kuamini unacho kiamini
No 41 ni dhambi gani hiyo?
Omba wewe mkuu, mimi sina tatizo.Hakika Una mtihani mkubwa Sana mkuu
Omba Mwenyezi Mungu akuongoze
Sawa mkuu nimekuelewaOmba wewe mkuu, mimi sina tatizo.