Ni yupi kati ya hawa ni wa kumuandaa kuwa Rais wa Tanzania hapo baadaye?


Nyerere ni nani boss?
 
Makonda ameharibu uzi ba inaonekana hujui unachokiandika
 
List hovyo kabisa
 
Kama Sabaya hayupo kwenye list. Ni ubatili mtupu
 
Gwaji boi atatufaa hizo nyingine [emoji706]

#MaendeleoHayanaChama
 
Makonda awe rais na makamo wake awe sabaya
 
mbona hakuna hata mmoja hapo anayefaa?
 
Kwangu mimi hapo LISSU tu. Wemgine ondoa hapo hamna.
 
Sasa tundu lissu ni mzalendo gani[emoji856][emoji856]
Pia hapo toa majina ya kiislamu yote bakisha mengine tujadili ..waislamu wana abudu wazungu na waarabu kuwapa 8ongozi ni jau
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…