Ni yupi kati ya hawa ni wa kumuandaa kuwa Rais wa Tanzania hapo baadaye?

Hakuna Rais hapo wote hawana hadhi ya kuwa Rais..

Rais anafaa mtu asiye na mihemko
 
Yah yoyote kati ya Majaliwa au Bashiru anafaa kuwa makamu. Lkn mimi naona list inaweza kuwa nzuri zaidi kiuongozi kwa kufuata mpangilio huu... 1) raisi Hussein Mwinyi, 2) makamu wa raisi Kassim Majaliwa, na 2) waziri mkuu Bashiru.
Takataka hizo
 
Kuna wengine huko walipokua tu mtihani huo urais sijui kama watauweza!
 
Hapo kuna mtu mmoja tu mwenye sifa za kuwa Rais ni Husein Mwinyi.Lisu Urais hawezi,Makonda Gwajima ni wahuni na nchi ingekuwa inafata sheria wangekua magereza kwa Sababu wote Wana jinai .Hao wengine sifa za uongozi hawana .Lisu labda uwaziri lakini ngazi ya Urais atakua dikiteta mkubwa Sana ni zaidi ya Magufuli.
 
Sema vijana mmekua wajinga sana na bahati mbaya CCM imefanya watu wajinga waamini kila mtu anafaa kuwa Rais wa nchi hii. Imagine mpaka Bashiru mwalim wangu mnaona ana sifa za kua Rais, Gwajima yaan asee. Kwa kifupi acha ujinga ndugu mwandishi
 
Rais - Hussein Mwinyi.
Makam - gwajima
Waziri mkuu - Jumanne Kishimba

Ngoja nitoke usingizini
 
Kama ni baada ya huyu aliyepo basi ifuatavyo ni zamu ya kusali jumapili.
 
Mmemsahau Dr. Msukuma wa Geita namzimia sana. Yeye ndie atakaesukuma gurudumu la Urais TZ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…